BASI LA MTEI LATEKETEZWA KWA MOTO BAADA YA KUGONGA NA KUUA SINGIDA
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Mojawapo ya basi la Mtei sio lililopata ajali. Habari ambazo mtandao huu umezipata kutoka Singida sasa hivi zinasema Basi la abiria la Matei linalofanya safari zake kutoka Mwanza kwenda Dar limechomwa moto na kuteketea kabisa na watu wenye hasira kali baada ya kugonda bodaboda ambayo ilikuwa imepakia ‘mshikaki’ wa watu watatu ambao walikufa papohapo eneo la tukio. Hakuna abiria wa basi aliyeumia. Mwandishi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ZLP1O9SvAIg/VbY4AsLgLVI/AAAAAAABS1Y/p0WOjnfAdCY/s72-c/IMG-20150727-WA0010.jpg)
AJALI YATOKEA MKOANI TABORA BAADA YA BASI KUGONGA TRENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZLP1O9SvAIg/VbY4AsLgLVI/AAAAAAABS1Y/p0WOjnfAdCY/s640/IMG-20150727-WA0010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GPW5xqIj-Vc/VbY4A5x53DI/AAAAAAABS1c/AV7h2SIePMM/s640/IMG-20150727-WA0012.jpg)
Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi
10 years ago
Habarileo16 Jan
Kanisa lateketezwa kwa moto Kakonko
WATU wasiojulikana wamelichoma moto na kuliteketeza Kanisa la Evangelical Assemblies of God wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma na kuteketekeza kila kitu kilichokuwemo ndani ya kanisa hilo.
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YTFvh9JoYPHM1HRabQ5DiKLmeJV4iLoI2TBPIEcDJ6jNRiJgxZc3Z9lvPx6ib8BMT437n2bqtojQxWamviLqyII3VMAToQya/Mtoto.gif?width=650)
MAAJABU AJALI YA BASI KUGONGA TRENI
11 years ago
CloudsFM10 Jun
AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI KICHWANI BAADA YA KUGONGA MARA MBILI AKIWA ANAENDESHA GARI
MFANYABIASHARA wa madini, Richard Lucas (29), amejipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti na gari lake kupinduka.
Tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 12 jioni nyumbani kwa marehemu eneo la Kimandolu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Alisema kuwa Lucas alijipiga risasi ya kichwa kwa kutumia bastola aina ya Luger yenye namba B136986 baada ya kuwagonga watu hao.
Kamanda Sabas,...
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Dereva basi la Muro mbaroni kwa kuua
JESHI la Polisi mkoani Iringa linamshikilia dereva wa basi la Prince Muro, Said Mtatifikolo kwa tuhuma za kumuua mtembea kwa miguu baada ya kumgonga. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
10 years ago
GPLAJALI YA BASI LA SUPER ALJABIR KUGONGA TRENI IFAKARA, MAJINA YA MAREHEMU YATAJWA
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Mbaroni kwa kuua mwanafunzi kwa moto