Bei ya mafuta yafuta ajira, Schlumberge
Kampuni kubwa ya uzalishaji wa mafuta Duniani ya Schlumberger imesema itapunguza ajira kwa kiwango cha asilimia saba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), imepunguza bei za mafuta kote nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B3.jpg)
EWURA yapewa siku 10 kupitia bei za mafuta katika maghala ya kuhifadhi na kupokea mafuta.
![](https://1.bp.blogspot.com/-J8nPCmTttsU/XrpavNnuVVI/AAAAAAALp3A/Tkm_GdJVX8snL2--OHwlxbDJYszmi0DegCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B3.jpg)
Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani (wa pili kulia)akipita kukagua mazingira ya ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP, alipofanya ziara katika eneo hilo mkoani Tanga, Mei 10, 2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-KizeE0XqwiY/XrpavnCZSHI/AAAAAAALp3E/OlsgDnTG8EMM_llMxefz8sbypBsgsCgIACLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B4.jpg)
Shehena ya Mafuta ikiwa imepakiwa katika matangi tayari kwa kusafirishwa,hapa ni katika ghala la kuhifadhi na kupokea mafuta la kampuni ya GBP mkoani Tanga, Waziri wa Nishari, Dkt. Medard Kalemani, alifanya ziara katika eneo hilo, Mei 10,2020.
![](https://1.bp.blogspot.com/-rZ963RWU-wc/Xrpav5vjNDI/AAAAAAALp3I/cn3LiMHp6nEX5Ttle59mKCBn02Mo6fiGQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B5.jpg)
Baadhi ya mapipa makubwa ya kuhifadhia mafuta...
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Wizara yafuta ajira 200 za Uhamiaji
11 years ago
Habarileo22 Jul
Bei ya mafuta kushuka
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeanza mchakato wa kutafuta namna ya kupunguza gharama za uingizaji wa mafuta nchini. Hatua hiyo itawezesha pia bei ya nishati hiyo nchini kushuka.
10 years ago
Habarileo04 Feb
Mafuta yazidi kushuka bei
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kushuka zaidi kwa bei za bidhaa za mafuta hapa nchini kuanzia leo, kutokana na bei katika soko la dunia kuendelea kuporomoka.
10 years ago
Mtanzania12 Jun
Mafuta ya petroli bei juu
SERIKALI imependekeza kuongeza tozo ya mafuta ya petrol na dizeli kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 100 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la Sh 50 kwa lita.
Akizungumzia kuhusu ongezeko hilo wakati akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 bungeni mjini Dodoma jana, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, alisema mafuta ya taa yanapaa kutoka Sh 50 kwa lita hadi Sh 150 kwa lita, ikiwa ni ongezeko la shilingi 100 kwa lita ili kuondoa uwezekano wa kuchakachua.
“Hatua ya kuongeza tozo ya mafuta ya petroli...
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jun
Bei ya mafuta, saruji zidhibitiwe
Na mwandishi wetu
WAKATI Bajeti Kuu ya serikali ya mwaka wa fedha 2014/2015, ikitarajiwa kuwasilishwa bungeni leo, Mkuu wa Kitengo cha Sayansi ya Siasa cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk. Benson Bana, ameshauri bei ya mafuta idhibitiwe na kuwa chini.
Alisema mafuta ni nishati muhimu ambayo inagusa maisha ya kila mwananchi na kwamba yakipanda bei yanachangia maisha ya wananchi kuwa magumu.
Dk. Bana alisema hayo jana alipokuwa akitoa maoni yake kuhusu muelekeo wa bajeti kuu ya serikali...
10 years ago
Vijimambo07 Jan
Mafuta yazidi kushuka bei nchini
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2581006/highRes/916048/-/maxw/600/-/285n5k/-/bei.jpg)