BEN POL, LINEX WAKINUKISHA BATA DAY
![](http://api.ning.com:80/files/Wib7New*846iCuBahHOpI9uc70GHjdZa*Q2TYor1XTyCy-J7JO8DbMYzuov01-9za3n1wVoYdpvl6rbcL9jFeTr2n7IuMohJ/1.jpg)
Msanii wa Bongo Fleva Ben Pol akikinukisha mbele ya mashabiki waliojitokeza kwenye Tamasha la Bata Day katika Ufukwe wa Azura. Mmoja wa mashabiki akimnong’oneza jambo Ben Pol wakati shoo hiyo ikiendelea. Linex akionyesha ubora wake katika jukwaa ambapo alikuwa akitumbuiza kwa kupigiwa vyombo laivu.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo31 Dec
TBT:Picha 8 za Rais Magufuli , Izzo B , Linex, Nikki wa pili, Hermy B, Ben Pol, Rose Ndauka enzi hizo…
Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg […]
The post TBT:Picha 8 za Rais Magufuli , Izzo B , Linex, Nikki wa pili, Hermy B, Ben Pol, Rose Ndauka enzi hizo… appeared first on...
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
MC Pilipili: Ben Pol atawakonga nyoyo Boxing Day
Mwandishi wetu
MKALI wa kuchekesha Bongo, MC Pilipili, amewataka wakazi wa Dodoma kukaa mkao wa burudani kwani anatarajia kufanya bonge la shoo la Stand Up Comedy ambapo Ben Pol naye atahusika kushusha burudani kali siku ya Boxing Day, Desemba 26, mwaka huu.
MC Pilipili amesema siku hiyo maalum ya kufungua zawadi, kwa kiingilio cha shilingi elfu kumi kwa viti vya kawaida na shilingi elfu thelathini kwa viti maalum (V.I.P), watu watapata kumshuhudia live jukwaani katika Ukumbi wa Royal...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Mc Pilipili,Ben Pol kufanya maajabu Boxing Day
MC Pilipili akiwa na Ben Pol.
MWANDISHI WETU
MCHEKESHAJI maarufu Bongo, MC Pilipili anatarajia kufanya shoo baab’kubwa ya kuchekesha siku ya Boxing Day, Desemba 26, mwaka huu mjini Dodoma itakayofahamika kwa jina la Night Stand Up Comedy.
Akiizungumzia ‘event’ hiyo, MC Pilipili alisema kupitia kampuni yake ya Pilipili Events, watafanya shoo kubwa ya kuchekesha ambayo haijawahi kutokea Bongo hivyo mashabiki wa komedi na wapenda burudani kwa jumla, wafike kwa wingi siku hiyo katika Ukumbi wa...
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Ben Pol aanza mwaka na Ben Pol
Ben Pol.
Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Fleva, Benard Paul (Ben Pol) amefunguka kwa kusema kuwa anauanza mwaka wa 2016 kwa kutoa albamu yake iliyobeba nyimbo 13, mwanzoni mwa mwezi wa pili.
Akizungumza na Championi Jumatano, Pol amesema kuwa wasanii wengi wamekuwa wakiuchukulia muziki huo ni wa kawaida tu kwa kuhitaji kujiingizia kipato na siyo kuwa ‘serious’ na matokeo yake wanaishia kutoa nyimbo moja au mbili ili kupata shoo.
“Nimejipanga kuweka...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/cQD3IPkB_tc/default.jpg)
10 years ago
Bongo515 Jan
New Music: Ben Pol — Sophia
11 years ago
GPL27 Jun