BENKI YA EXIM YASAINI MAKUBALIANO NA TAASISI YA FEDHA YA UJERUMANI ILI KUINUA BIASHARA NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-r-9FBaj8wFQ/VebGSF6iX9I/AAAAAAAH1wg/uZj9wrqb8Xc/s72-c/download.png)
BENKI ya Exim Tanzania imesaini makubalino ya mkopo wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 20 (takribani 42bn/-) na kampuni binafsi ya ukopeshaji ya nchini Ujerumani, Deutsche Investitions und Entwicklungsgesellschaft MBH (DEG), lengo likiwa ni kusaidia kuinua sekta ya biashara ndogo hapa nchini(SMEs).
Kwa mujibu wa Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya hiyo, Bw. Selemani Ponda fedha hizo zilizo katika mfumo wa mkopo mkubwa, zitatolewa kwa awamu mbili kwa kuzingatia maendeleo ya ukuaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iEKQyPbhe4s/VEs5mpSnpOI/AAAAAAACtgk/WQc9mtMzT0c/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yasaini mkataba wa mwaka mmoja na Stand United FC
![](http://4.bp.blogspot.com/-iEKQyPbhe4s/VEs5mpSnpOI/AAAAAAACtgk/WQc9mtMzT0c/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Exim: Wekeni fedha benki
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QTxMhUqZpR0/VVmdNsKqOyI/AAAAAAAC4n8/WdFMXePpnI0/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yachangia fedha Chuo Kikuu cha UDOM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QTxMhUqZpR0/VVmdNsKqOyI/AAAAAAAC4n8/WdFMXePpnI0/s640/unnamed.jpg)
BENKI ya Exim Tanzania imechangia fedha kiasi cha shilingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yatangaza likizo ya malipo ya mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 160 kwa wateja wake ili kuwanusuru na athariza janga la COVID - 19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aRNM6bufP6o/XtkPHMM2l9I/AAAAAAAEHgE/6CAuHjFjFzwiO8GWkrK1OrSnqdlRNSdKACLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo walipo katika sekta zilizo athirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID 19). Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi zinazoendelea kuchukuliwa na benki hiyo katika kuwasaidia kifedha wateja wake...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K5h7WOlnI7I/U7uTDQdKljI/AAAAAAAFxG8/MWfMfu9YVhQ/s72-c/exim+ditf+pix+2.jpg)
BENKI YA EXIM KATIKA MAONYESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABA SABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-K5h7WOlnI7I/U7uTDQdKljI/AAAAAAAFxG8/MWfMfu9YVhQ/s1600/exim+ditf+pix+2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aOokp63g1o8/U7uTDayhwWI/AAAAAAAFxG0/aPThkmhNMDg/s1600/exim+ditf+pix+3.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YASHIRIKI KONGAMANO LA VIJANA LA BIASHARA LILILOANDALIWA NA TAASISI YA AIESEC JIJINI ARUSHA
Kongamano hilo lilihudhuriwa na Vijana kutoka katika Vyuo Vikuu vya nchi za Afrika Mashariki na kuandaliwa na Taasisi ya AIESEC ambalo hujihusisha na ubunifu wa vipaji vya uongozi miongoni mwa vijana lililofanyika jijini Arusha hivi karibuni katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Hall CDTI- TENGERU, Arusha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LmMLQXTs0A4/VEYh0rgNhbI/AAAAAAACtIE/UbKWIApCpC4/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yaahidi kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha hali ya magereza nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-LmMLQXTs0A4/VEYh0rgNhbI/AAAAAAACtIE/UbKWIApCpC4/s1600/unnamed.jpg)
Exim Bank imeahidi kuendelea kusaidia juhudi za serikali katika kuboresha hali ya magereza nchini, ikiwa ni sehemu ya shughuli zake za kibenki za kijamii....
5 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
MichuziBenki ya Exim yawaasa wateja wake kutumia fursa zilizopo katika sekta ya gesi nchini
Wito huo ulitolewa na Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa benki hiyo, Bw. Dinesh Arora wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni...