Benki ya NBC yandaa futari kwa wateja wake jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Edward Marks (wa pili kushoto), akimkaribisha Kaimu Mufti wa Tanzania, Shehe Abubakar Bin Zubeir Bin Ali katika hafla ya futari waliyowaandalia wateja wao na wageni wengine waalikwa. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya NBC, Dk. Kassim Hussein.
Baadhi ya wateja wa NBC na wageni waalikwa wakichukua futari iliyoandaliwa na Benki ya NBC,
Baadhi ya wateja wa NBC na wageni waalikwa wakichukua futari iliyoandaliwa na Benki ya NBC,
Mkurugenzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
BENKI YA EXIM TANZANIA YAANDAA TENA FUTARI KWA AJILI YA WATEJA WAKE JIJINI DAR ES SALAAM.



11 years ago
Michuzibenki ya NBC yafuturisha wateja wake jijini Dar
10 years ago
Michuzi
BENKI YA EXIM YAANDAA HAFLA YA FUTARI KWA WATEJA WAKE DAR ES SALAAM



11 years ago
Dewji Blog05 May
Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar
Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Said Amanzi (kushoto) akipokea kitabu chenye mafundisho ya kifedha yanayofuata maadili ya kiiislamu kutoka kwa Meneja Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, James Ndimbo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa wateja wanaotumia huduma za kibenki zinafuata misingi ya kiislamu (NBC Islamic Banking ), iliyofanyika mjini humo hivi karibuni. Anayeangalia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Morogoro, Bachoo S. Bachoo.
11 years ago
Michuzi
Benki ya NBC yatoa elimu ya kifedha kwa wateja mjini Morogoro na kufundisha watoto kusoma jijini Dar


11 years ago
Michuzi
Benki ya Exim Tanzania yaandaa futari kwa wateja wake wa mkoani Tanga


11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Benki ya CBA yawaandalia Futari wateja wake
Wa pili Kushoto ni Mweka Hazina Mkuu wa Benki ya CBA Bw. Julius Mcharo akifuatiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Bw. Yohane Kaduma na Sekh Salim Mohammed wakiwa kwenye IFTAR ilioandaliwa na benki ya CBA kwa ajili ya kujumuika na wateja wake na wadau mbalimbali wakati huu wa Ramadan, kwenye hotel ya Serana jana, akizungumza kwenye IFTAR hiyo Bw. Kaduma ametoa shukrani yingi kwa wateja wa CBA na kuiasa jamii kwa ujumla kuzingatia haki na amani sio kwenye kipindi hiki tu mwezi mtukufu...
10 years ago
Michuzi
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania akutana na wateja wa benki hiyo jijini Mwanza


11 years ago
Michuzi
BENKI YA EXIM YAWAANDALIA FUTARI WATEJA WAKE ZANZIBAR

Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko wa Zanzibar, Mhe. Nassor Mazrui (kulia) akizungumza wakati wa Iftari iliyoandaliwa na Benki ya Exim Tanzania Tawi la Zanzibar kwa ajili ya wateja wake hivi karibuni. Wengine kulia kwake ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo na wateja walioalikwa katika tukio hilo.
