Benki ya NIC Tanzania kupewa bilioni 8.5/-
BENKI ya NIC Tanzania inatarajiwa kupewa Sh bilioni 8.5 kama nyongeza ya mtaji kutoka kwa wanahisa ili kuongeza ufanisi katika shughuli za kibenki kama utoaji mikopo kwa wajasiriamali wadogo na wakati.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s72-c/800x800_5304470ddd432.jpg)
TAARIFA YA KUUNGANA KWA BENKI YA NIC TANZANIA NA BENKI YA COMMECIAL BANK OF AFRICA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s200/800x800_5304470ddd432.jpg)
Kibali cha kuungana kutoka kwa mamlaka husika tayari vimeshapokelewa
Benki ya NIC Bank Tanzania Limited (NIC) na benki ya Commercial Bank of Africa (Tanzania) Limited (CBA) imeshapokea vibali vyote kuungana na kuanza kutoa huduma kuanzia tarehe 8 mwezi Julai mwaka 2020 kama benki ya NCBA Bank Tanzania Limited.
Uunganaji utafanyika kwa...
10 years ago
MichuziBENKI YA NIC YATOA MADAWATI 25 SHULE YA MSINGI CHAMANZI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii BENKI ya NIC imetoa msaada wa madawati 25 katika shule ya msingi Chamanzi yenye thamani ya Sh.Milioni tatu kutokana na shule hiyo kukabiliwa na changamoto ya madawati.
Akizungumza baada ya kukabidhi madawati hayo, Mkuu wa Biashara za Kibenki,Rahim Kanjii amesema kuwa shule hiyo waliona ina...
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-u0VxfGIxVcM/VlKTsfSCVgI/AAAAAAAIH3c/P8V58OJPcIY/s72-c/IMG_5666.jpg)
BENKI YA NIC YAIPIGA JEKI HOSPITALI YA MEDEWELL, ILIYOPO KIBAHA MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-u0VxfGIxVcM/VlKTsfSCVgI/AAAAAAAIH3c/P8V58OJPcIY/s640/IMG_5666.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_up2968H1YQ/VlKTkvnYGpI/AAAAAAAIH3U/b1ugjHbFbwQ/s640/IMG_5677.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L29YBwI0KfE/VlKReXUQlnI/AAAAAAAIH1s/jt4WQ1NIExA/s640/IMG_5464.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LEqZn8Zj_2U/VlKRjijF1zI/AAAAAAAIH18/ML2HOdf4HVs/s640/IMG_5498.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7JcyW5fAGTg/VItHiJvazxI/AAAAAAACwYQ/UP6Gyi5p-1g/s72-c/01.jpg)
Tanzania yasaini mkataba wa Sh. bilioni 15.5 kutoka benki ya ADB kuboresha kituo cha utafiti MUHAS.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7JcyW5fAGTg/VItHiJvazxI/AAAAAAACwYQ/UP6Gyi5p-1g/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LXDjioyJfts/VItHlPvYdlI/AAAAAAACwYg/41byjXYvSRk/s1600/02.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s72-c/2014-03-22+14.39.44.jpg)
BENKI YA NIC ARUSHA YAWAKUMBUKA WATOTO WENYE MTINDIO WA UBONGO WA SHULE MAALUM YA DYMPHNA ILIYOPO SAKINA KWA IDD
![](http://1.bp.blogspot.com/-I4e6A9A3c-Q/UzMBMouEjoI/AAAAAAAASoI/DaIDKOl31bk/s1600/2014-03-22+14.39.44.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-R7pISFCW4p0/UzMBPF6ukHI/AAAAAAAASoc/BGjWe6SNdeE/s1600/2014-03-22+14.42.37.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-WDSSA0v6SjQ/UzMBM3o8BHI/AAAAAAAASoM/DQ28ptHJd-E/s1600/2014-03-22+14.55.23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9q3AdrzHn60/UzMBQpud7-I/AAAAAAAASoo/Y2d6WwbGbj0/s1600/2014-03-22+14.58.25.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Ro7dowVf-s/UzMBOrhK1cI/AAAAAAAASoY/dLZ94dcrKO4/s1600/2014-03-22+14.59.11.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA FINCA YAWEKEZA ZAIDI BILIONI 22
Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Edward Greenwood wakati wa kufunga Taasisi ya mikopo kwa wafanyabiashara wenye kipato cha chini na kuzinduliwa Benki ya Finca katika ofisi za benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Greenwood amesema kuwa watatoa huduma bora kwa watanzania katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Aidha amesema kuwa...
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
TAMISEMI kuanzisha benki ya maendeleo, bilioni 50 kutumika
Mjumbe wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa, George Lubeleje ( wa tatu kulia).Picha na Maktaba.
Na Mwandishi wetu
Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inatarajia kuanzisha Benki ya maendeleo ya Serikali za Mitaa ambayo pamoja na mambo mengine Jukumu lake la Msingi litakuwa ni Kutoa Mikopo yenye masharti nafuu kwenye Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi inayolenga kuchochea shughuli za kiuchumi, kuongeza ajira na Mapato ya Halmashauri ili kujiletea Maendeleo ndani ya Halmashauri na...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Bilioni 103 za benki ya dunia kujenga nyumba