BENKI YA FINCA YAWEKEZA ZAIDI BILIONI 22
BENKI ya FINCA imewekeza kiasi cha sh. bilioni 22, ambayo imevuka kiwango cha masharti ya Benki Kuu ya Tanzania kwa uanzishwaji wa mabenki hapa nchini.
Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Edward Greenwood wakati wa kufunga Taasisi ya mikopo kwa wafanyabiashara wenye kipato cha chini na kuzinduliwa Benki ya Finca katika ofisi za benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Greenwood amesema kuwa watatoa huduma bora kwa watanzania katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Aidha amesema kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Kenya yawekeza Sh36 bilioni nchini
11 years ago
Michuzi
FINCA WAZINDUA KAMPENI YAO MPYA YA FIKA NA FINCA JIJINI DAR LEO

11 years ago
Habarileo18 Feb
Benki ya NIC Tanzania kupewa bilioni 8.5/-
BENKI ya NIC Tanzania inatarajiwa kupewa Sh bilioni 8.5 kama nyongeza ya mtaji kutoka kwa wanahisa ili kuongeza ufanisi katika shughuli za kibenki kama utoaji mikopo kwa wajasiriamali wadogo na wakati.
11 years ago
Dewji Blog20 Sep
TAMISEMI kuanzisha benki ya maendeleo, bilioni 50 kutumika
Mjumbe wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa, George Lubeleje ( wa tatu kulia).Picha na Maktaba.
Na Mwandishi wetu
Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inatarajia kuanzisha Benki ya maendeleo ya Serikali za Mitaa ambayo pamoja na mambo mengine Jukumu lake la Msingi litakuwa ni Kutoa Mikopo yenye masharti nafuu kwenye Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi inayolenga kuchochea shughuli za kiuchumi, kuongeza ajira na Mapato ya Halmashauri ili kujiletea Maendeleo ndani ya Halmashauri na...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Bilioni 103 za benki ya dunia kujenga nyumba
11 years ago
Habarileo19 Jun
Benki ya Dunia yatoa bilioni 74/- kuboresha maji
BODI ya Wakurugenzi wa Benki ya Dunia, imeidhinisha msaada kwa Tanzania zaidi ya Sh bilioni 74 kusaidia upatikanaji wa huduma ya maji safi, salama na maji taka kwa familia masikini za mijini na vijijini.
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!
5 years ago
CCM Blog
ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YABARABARA


kazi zikiendelea za kukarabati barabara ya Kahama - Solwa -Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, wilayaniKahama.

5 years ago
Michuzi
ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YA BARABARA


