Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BENKI YA FINCA YAWEKEZA ZAIDI BILIONI 22

BENKI ya FINCA imewekeza kiasi cha sh. bilioni 22, ambayo imevuka kiwango cha masharti ya Benki Kuu ya Tanzania kwa uanzishwaji wa mabenki hapa nchini.
Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi  Mtendaji wa Benki hiyo, Edward Greenwood wakati wa kufunga Taasisi ya mikopo kwa wafanyabiashara wenye kipato cha chini na kuzinduliwa Benki ya Finca katika ofisi za benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Greenwood amesema kuwa watatoa huduma bora kwa watanzania katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Aidha amesema kuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kenya yawekeza Sh36 bilioni nchini

Kenya imewekeza nchini miradi 518 yenye thamani ya Dola za Marekani 1.7 milioni, sawa na Sh35.7 bilioni na kuongeza nafasi za ajira 55,762, Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesema.

 

11 years ago

Michuzi

FINCA WAZINDUA KAMPENI YAO MPYA YA FIKA NA FINCA JIJINI DAR LEO

 Mkuu wa Huduma za Kibenki wa FINCA,Bwa.Gershom Mpangala akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari (hawapo pichani),kuhusiana na taasisi hiyo ya Kifedha kuzindua kampeni yake mpya  iliyojulikana kwa jina la Fika na Finca,kampeni inayolenga kuwafikia Watanzania wote kupitia huduma za kibenki na kuwasaidia kutimiza malengo ya kimaendeleo waliyojiwekea,Mkutano huo umefanyika kwenye moja ya Ofisi zao zilizopo Mwembechai Jijini Dar.Pichani kati Kaimu Afisa Mwendeshaji Mkuu wa FINCA ...

 

11 years ago

Habarileo

Benki ya NIC Tanzania kupewa bilioni 8.5/-

BENKI ya NIC Tanzania inatarajiwa kupewa Sh bilioni 8.5 kama nyongeza ya mtaji kutoka kwa wanahisa ili kuongeza ufanisi katika shughuli za kibenki kama utoaji mikopo kwa wajasiriamali wadogo na wakati.

 

11 years ago

Dewji Blog

TAMISEMI kuanzisha benki ya maendeleo, bilioni 50 kutumika

KAMATI YA KATIBA YA BUNGE_

Mjumbe wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa, George Lubeleje ( wa tatu kulia).Picha na Maktaba.

Na Mwandishi wetu

Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa inatarajia kuanzisha Benki ya maendeleo ya Serikali za Mitaa  ambayo pamoja na mambo mengine Jukumu lake la Msingi litakuwa ni Kutoa Mikopo yenye masharti nafuu kwenye Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi inayolenga kuchochea shughuli za kiuchumi, kuongeza ajira na Mapato ya Halmashauri ili kujiletea Maendeleo ndani ya Halmashauri na...

 

10 years ago

Mwananchi

Bilioni 103 za benki ya dunia kujenga nyumba

Benki ya Dunia (WB) imetoa Dola 60 milioni (Sh 103 bilioni) za Marekani kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa wananchi.

 

11 years ago

Habarileo

Benki ya Dunia yatoa bilioni 74/- kuboresha maji

BODI ya Wakurugenzi wa Benki ya Dunia, imeidhinisha msaada kwa Tanzania zaidi ya Sh bilioni 74 kusaidia upatikanaji wa huduma ya maji safi, salama na maji taka kwa familia masikini za mijini na vijijini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Benki ya DTB Tanzania yauza hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 30!

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Diamond Trust (DTB), Viju Cherian (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Hoteli ya Serena Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu benki hiyo kuuza hisa zenye thamani ya sh. bilioni 30 na kusherehekea miaka 70 ya uwepo wake tangu ianzishwe hapa nchini. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa benki hiyo, Joseph Mabusi.  Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa benki hiyo, Joseph Mabusi (kulia), akizungumzia mafanikio mbalimbali  na...

 

5 years ago

CCM Blog

ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YABARABARA

Naibu   Waziri   wa   Ujenzi,   Elias   Kwandikwa,   akiruka   katika mtambo wa kuchonga barabara   wakati alipokuwa   akikagua barabara ya Kahama - Solwa -  Mwananga   (km   148)inayokarabatiwa   kwa   kiwango   cha   changarawe,   wilayaniKahama. 
kazi   zikiendelea  za  kukarabati   barabara   ya   Kahama   -   Solwa   -Mwananga   (km   148) kwa  kiwango   cha   changarawe,   wilayaniKahama.  Muonekano wa sehemu ya barabara   ya   Kahama   -   Solwa   -Mwananga (km 148)  kwa kiwango cha...

 

5 years ago

Michuzi

ZAIDI YA BILIONI 25 KUTUMIKA MATENGENEZO YA BARABARA

Kazi zikiendelea za kukarabati barabara ya Kahama - Solwa - Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, wilayani Kahama.Naibu Waziri wa Ujenzi, Elias Kwandikwa, akiruka katika mtambo wa kuchonga barabara wakati alipokuwa akikagua barabara ya Kahama - Solwa - Mwananga (km 148) inayokarabatiwa kwa kiwango cha changarawe, wilayani Kahama.Muonekano wa sehemu ya barabara ya Kahama - Solwa - Mwananga (km 148) kwa kiwango cha changarawe, Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Barabara hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani