Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bernadeta Kaiza apata nondo ya Masters of Science in Administration (Public and Community Health

Bi. Bernadeta Kaiza alipopokea cheti chake kutoka kwa Raisi wa Chuo hicho Bi. Patricia McGuire.
Makamu Katibu wa Jumuiya ya Watanzania DMV Mheshimiwa Bernadeta Kaiza amehitimu Stashahada ya juu ya Science katika chuo Kikuu cha Trinity hapa Washington DC.Bi. Bernadeta Kaiza akiwa na watoto wake Bryan Mwombeki na Briana Kagemulo.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

NGALU BUZOHERA AKAMATA NONDO YA MASTER OF HEALTH SERVICES ADMINISTRATION

Ngalu Buzohera akiwa katika picha ya pamoja na mama yake mzazi Mrs.Rehema Buzohera mfanyakazi Hazina,wizara ya Fedha  Dar es Salaam Tanzania siku ya Jumamosi June 27, 2015 chuo kikuu cha Strayer alipokamata nondo ya Master of Health Services Administration Ngalu Buzohera akiwa katika picha ya pamoja na mama mkubwa Zainab Kastico siku ya Jumamosi June 27, 2015 chuo kikuu cha Strayer alipokamata nondo ya Master of Health Services Administration Kutoka kushoto ni mama mkubwa Zainab Kastico,...

 

9 years ago

Michuzi

EAC TO COLLABORATE WITH THE NELSON MANDELA AFRICAN INSTITUTION OF SCIENCE AND TECHNOLOGY (NM-AIST) TO ENHANCE THE COMMUNITY’S SCIENCE AND TECHNOLOGY STRATEGY

Amb. Dr. Richard Sezibera, EAC Secretary General (left), being greeted upon arrival to NM-AIST grounds by the Institution’s Vice Chancellor, Prof. Burton Mwamila.hhhAmb. Dr. Richard Sezibera, EAC Secretary General (centre), handing over a gift token of the EAC flag and other publications to NM-AIST’s Vice Chancellor, Prof. Burton Mwamila (second left). Celebrating in this auspicious moment are Aloysius Chebet, EAC Principle Education Officer (second right) and Prof. Lughano Kusiluka (far...

 

10 years ago

Dewji Blog

Philips inaugurates Africa’s first Community Life Center aimed at strengthening primary health care and enabling community development

Wordmark

The Philips Community Life Center provides crucial access to health care and services through an innovative community hub

Royal Philips (AEX: PHIA, NYSE: PHG) (http://www.philips.com) has opened its first Community Life Center in Kenya, an integrated solution for primary health care and service facilities that provides community development from a health care, lighting and healthy living perspective. Developed by the Philips Africa Innovation Hub (http://goo.gl/2bnujk) and introduced in...

 

11 years ago

Michuzi

Community Health Workers boosts maternal health services in Tanzania

 Prof Japhet Killewo, a medical doctor and Epidemiologist from Muhimbili University, speaks to experts who convened in Dar es Salaam to share research findings and discuss meaningful policies to address maternal and newborn health in Tanzania. The third year dissemination workshop was sponsored by the United States Agency for International Development (USAID) and organized by partners within the Ministry of Health and Social Welfare, Muhimbili University, Johns Hopkins University and...

 

10 years ago

Vijimambo

DOTTO HARUNA AKAMATA NONDO PRINCE GEORGE COMMUNITY COLLEGE

Dotto Haruna katika picha baada ya kukamata nondo ya utaalam wa mapafu na upumuaji( Respiatory practitioner with honor degree kutoka Prince George Community College, Maryland nchini Marekani.Dotto Haruna akiwa na ndugu yake Sensei Ramadha Fundi siku alipokamata nondo katika chuo cha Prince George.Dotto Haruna akiwa na familia yake.Dotto Haruna akiwa na wanafunzi wenzake Mazengo class 98 waliofika kumpongeza kwa kukamata nondo kwenye sherehe yake siku ya Jumamosi May 23, 2015.Dotto Haruna na...

 

10 years ago

Michuzi

BG Tanzania yawadhamini wanafunzi kumi kupata elimu ya juu ngazi ya stashahada ya uzamili ( Masters of science degree) ya sayansi nchini Uingereza

27 Agosti, 2014, Dar es Salaam, Tanzania–BG Tanzania ilia​ndaa ​hafla kwa ajili ya kuwaaga wanafunzi kumi watanzania wali​o​faulu kupata udhamini wa elimu ya juu ngazi ya stashahada ya uzamili ( Masters of science degree ) ya sayansi kwenye vyuo vikuu nchini Uingereza.
Katika hafla hii, wanafunzi watapata fursa ya kukutana na Meneja Mkuu wa BG Tanzania ( Derek Hudson) pamoja na wafanyakazi na wadau Mbalimbali.
Udhamini huu wa elimu ya juu ni kati ya mpango mkakati wa maendelo ya jamii...

 

10 years ago

Michuzi

Eng. Ahmed Dau Alamba Nondozzzz ya Masters of Science Degree in Petroleum, Energy, Economics and Finance katika Chuo Kikuu cha Aberdeen

 Eng. Ahmed Dau akila pozi baada ya kulamba Nondozzzz ya Masters of Science Degree in Petroleum, Energy, Economics and Finance katika Chuo Kikuu cha Aberdeen Eng. Ahmed na Wazazi wake Dr Ramadhani K Dau na Mrs Zeinab Dau Kwenye mahafari Chuo Kikuu cha Aberdeen Waliosimama kutoka kushoto Meya wa London Haruna Mbeyu, Abdul Dau, Mohamed Janguo, Kheri Mahimbali (MSc oil and gas class of Feb 2014 Aberdeen). Walioketi kutoka kushoto Dr Ramadhani K Dau, Eng. Ahmed Dau na Mrs Zeinab Dau. Kwa picha...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Ephrahim Mushi alamba Nondozz yake ya Masters degree in Environmental Science katika Chuo Kikuu cha Wageningen University nchini Uholanzi

Mhandisi Ephrahim Mushi wa Wizara ya Nishati na Madini akiwa ameshika Nondozz yake ya Uzamili ya Sayansi ya Mazingira (Masters degree in Environmental Science) mara baada ya kuipokea katika chuo kikuu cha Wageningen University nchini Uholanzi siku ya Alhamisi tarehe 26 Septemba, 2014 na baadae kulifanyika tafrija ya mkia wa jogoo (Cocktail Party) ya kupongezana iliyofanyika katika hoteli ya De Werled katika mji wa Wageningen,nchini humo.Mhandisi Ephrahim Mushi wa Wizara ya Nishati na Madini...

 

10 years ago

Daily News

Public urged to invest in science labs


Public urged to invest in science labs
Daily News
THE public has been urged to invest in science lab projects that will help increase the number of scientists who are central to the development agenda of the country. Temeke Municipal Mayor, Mr Maabad Hoja, said, “Laboratories can be an important stimulus ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani