Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGALU BUZOHERA AKAMATA NONDO YA MASTER OF HEALTH SERVICES ADMINISTRATION

Ngalu Buzohera akiwa katika picha ya pamoja na mama yake mzazi Mrs.Rehema Buzohera mfanyakazi Hazina,wizara ya Fedha  Dar es Salaam Tanzania siku ya Jumamosi June 27, 2015 chuo kikuu cha Strayer alipokamata nondo ya Master of Health Services Administration Ngalu Buzohera akiwa katika picha ya pamoja na mama mkubwa Zainab Kastico siku ya Jumamosi June 27, 2015 chuo kikuu cha Strayer alipokamata nondo ya Master of Health Services Administration Kutoka kushoto ni mama mkubwa Zainab Kastico,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Bernadeta Kaiza apata nondo ya Masters of Science in Administration (Public and Community Health

Bi. Bernadeta Kaiza alipopokea cheti chake kutoka kwa Raisi wa Chuo hicho Bi. Patricia McGuire.
Makamu Katibu wa Jumuiya ya Watanzania DMV Mheshimiwa Bernadeta Kaiza amehitimu Stashahada ya juu ya Science katika chuo Kikuu cha Trinity hapa Washington DC.Bi. Bernadeta Kaiza akiwa na watoto wake Bryan Mwombeki na Briana Kagemulo.

 

10 years ago

Vijimambo

ALMA NYANG'ORO AKAMATA NONDO, NORTH CAROLINA

 Alma Nyang]oro akiwa na Baba na Mama katika picha ya pamoja baada ya kukamata nondo katika shule ya Cary Academy iliyopo jimbo la North Carolina. Alma katika picha ya pamoja na babu yake Mzee Yusuf Kalala na mdogo wake Monica baada ya kukamata nondo yake ya high school katika shule ya Cary Academy. Alma na mama yake Alu Kalala Nyang'oro wakipata picha ya kumbukumbu katika siku hii muhimu maishani mwake. Alma na mjomba wake Felix.
Alma akipata picha na familia nzimaKwa picha zaidi bofya soma...

 

10 years ago

Vijimambo

ANWAR RAMADHAN AKAMATA NONDO, NEW YORK NCHINI MAREKANI

Naibu mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Matifa Mhe. Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na mwanae Anwar Ramadhan baada ya kutunukiwa shahada yake ya kumaliza High School shule ya New Rochelle jimbo la New York Naibu mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Matifa Mhe. Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja wanae Anwar Ramadhan Lutfia Ramadhan(kulia) na Arif Ramadhan (kushoto) baada ya kutunukiwa shahada yake ya kumaliza High School shule...

 

10 years ago

Vijimambo

DOTTO HARUNA AKAMATA NONDO PRINCE GEORGE COMMUNITY COLLEGE

Dotto Haruna katika picha baada ya kukamata nondo ya utaalam wa mapafu na upumuaji( Respiatory practitioner with honor degree kutoka Prince George Community College, Maryland nchini Marekani.Dotto Haruna akiwa na ndugu yake Sensei Ramadha Fundi siku alipokamata nondo katika chuo cha Prince George.Dotto Haruna akiwa na familia yake.Dotto Haruna akiwa na wanafunzi wenzake Mazengo class 98 waliofika kumpongeza kwa kukamata nondo kwenye sherehe yake siku ya Jumamosi May 23, 2015.Dotto Haruna na...

 

10 years ago

Vijimambo

MARK HARRY MBWANA AKAMATA NONDO MEAD HIGH SCHOOL

Mark Harry Mbwana akijiandaa kuhudhuria mahafali ya Mead High School baada ya kuhitimu shule hiyo.Mark akiandaliwa na mama yake Celina.Mark akipata picha ya pamoja na mama yake na mdogo wake.Mark akimchum Mama yake.

 

10 years ago

Vijimambo

MARIAM KALALA NYANG'ORO AKAMATA NONDO CHUO KIKUU CHA STRAYER, GEORGIA DOME.

Mariam Kalala Nyang;oro akipata picha baada ya kukamata nondo ya Masters of Health Services Administration katika chuo kikuu cha Strayer kilichopo Georgia Dome kaskazini mashariki ya mji wa Atlanta jimbo la Georgia nchini Marekani.Kutoka kushoto ni dada mkubwa wa Mariam, Alu, baba mzazi wa Mariam, Mzee Yusuf Kalala na Mariam wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Mariam kukamata nondo leo Jumamosi May 16, 2015 katika chuo kikuu cha Strayer kilichopo Georgia Dome kaskazini mashariki ya mji wa...

 

11 years ago

Michuzi

Community Health Workers boosts maternal health services in Tanzania

 Prof Japhet Killewo, a medical doctor and Epidemiologist from Muhimbili University, speaks to experts who convened in Dar es Salaam to share research findings and discuss meaningful policies to address maternal and newborn health in Tanzania. The third year dissemination workshop was sponsored by the United States Agency for International Development (USAID) and organized by partners within the Ministry of Health and Social Welfare, Muhimbili University, Johns Hopkins University and...

 

10 years ago

Michuzi

NEWLY LAUNCHED EAC-USAID HEALTH PROJECT TO IMPROVE HEALTH SERVICES ALONG CROSS BORDER SITES

 NEWLY LAUNCHED EAC-USAID HEALTH PROJECT TO IMPROVE HEALTH SERVICES  ALONG CROSS BORDER SITES
East African Community Headquarters, Arusha, Tanzania: 28 May 2015: ​In its efforts  to achieve an AIDS-free generation, the East African Community (EAC) Secretariat in collaboration with  the United States Agency for International Development (USAID) launched a five-year project on Cross-Border Health Integrated Partnership (CB-HIPP) designed to extend integrated health services in strategic...

 

10 years ago

Michuzi

NEWLY LAUNCHED EAC-USAID HEALTH PROJECT TO IMPROVE HEALTH SERVICES ALONG CROSS BORDER SITES

East African Community Headquarters, Arusha, Tanzania: 28 May 2015:In its efforts  to achieve an AIDS-free generation, the East African Community (EAC) Secretariat in collaboration with  the United States Agency for International Development (USAID) launched a five-year project on Cross-Border Health Integrated Partnership (CB-HIPP) designed to extend integrated health services in strategic border areas and other transport corridor sites. The ceremonial launch took place yesterday at the EAC...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani