BI VAILET WA MTANANA WILAYANI KONGWA AOMBA MSAADA ILI AKAFANYIWE UPASUAJI
Na John Banda,Kongwa.
Bi Vailet Sekwao (40) mkazi wa kijiji cha Mtanana Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma, anaomba msaada wa kifedha kiasi cha shilingi million mbili (2) ili aweze kufanyiwa upasuaji wa jicho lake ambalo lina uvimbe.
Akizungumza na mwandishi wetu katika kijiji cha Mtanana alisema kuwa anaomba msaada huo ili umwezeshe kugharima gharama za kumfikisha katika Hospitali ya Mhimbili na kufanyiwa upasuaji wa uvimbe ulioko kwenye jicho.
Sekwao alisema kuwa uvimbe huo ambao ulinza kama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s72-c/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
MSAADA MKUBWA UNAHITAJIKA KWA DADA ELIZA ILI AWEZE KUFANYIWA UPASUAJI WA UVIMBE TUMBONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s640/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
Akizunguma na waandishi wa habari mjini hapa Dodoma, alisema kuwa uvimbe huo ambao umekuwa ukiongezeka kila siku umekuwa kikwazo kwake katika kutekeleza majukumu yake ya kujipatia kipato.
Alisema kuwa uvumbe huo unaotokana na yeye kufanyiwa upasuaji wa utumbo aliofanyiwa miaka miwili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Lt1VO7H_vh0/Xr18u9b6LfI/AAAAAAALqQI/XVZzWq9QHDc5WGUHbiiAYKP1tP0xd-r4ACLcBGAsYHQ/s72-c/1215be02-f0c6-4e64-b659-0a6642cf4873.jpg)
DC NDEJEMBI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WILAYANI KONGWA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepokea vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo kutoka Taasisi ya Glaring Future Foundation (GFF).
Vifaa hivyo ambavyo ni Ndoo za kunawia na sabuni zake vimekabidhiwa kwa DC Ndejembi na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Aisha Msantu.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo, DC Ndejembi ameipongeza taasisi ya GFF kwa moyo wao wa uzalendo wa kuiunga mkono serikali dhidi...
10 years ago
MichuziWAZIRI MAGUFULI APATA WADHAMINI WENGI KATIKA WILAYANI KONGWA, DODOMA
10 years ago
Michuzi23 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9s7LQVci4Tk/XqA5SezPWHI/AAAAAAALn0c/pnd--DHQVUMsNr6Upobu98T637zSyfGIACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B3.jpg)
KADIO AKAGU MAENDELEO YA JENGO LA KITUO KIPYA CHA POLISI MBANDE WILAYANI KONGWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9s7LQVci4Tk/XqA5SezPWHI/AAAAAAALn0c/pnd--DHQVUMsNr6Upobu98T637zSyfGIACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/Picha-4-1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-25RhW-pcvFs/VSJle_nUhSI/AAAAAAAASBE/pj_k7YrppCc/s72-c/RUZUKU%2B1.jpg)
TASAF YAWAPATIA "MSHIKO" WA RUZUKU WATU WALIO NA KIPATO CHA UMASKINI WILAYANI KONGWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-25RhW-pcvFs/VSJle_nUhSI/AAAAAAAASBE/pj_k7YrppCc/s640/RUZUKU%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9ImSIG7g7Jc/VSJlfk-eltI/AAAAAAAASBM/Kw1f7mtRcCY/s640/RUZUKU%2B3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wOxSNW6ydfM/UvsfEvGkGYI/AAAAAAAFMeY/JCW_6J-d72c/s72-c/unnamed+(80).jpg)
KAMISHNA MSAIDIZI WA POLISI SUZAN KAGANDA ATOA VITENGE 15 NA TSHS. 100,000/= KWA AJILI YA MRADI WA UFUGAJI WA KUKU WILAYANI KONGWA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eBO3zmYTl-A/VPWi_eJ8SoI/AAAAAAAHHT4/LohOaahrfsY/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
WATU WANNE MBARONI AKIWEMO M/KITI WA KIJIJI CHA IHANDA WILAYANI KONGWA DODOMA KWA TUHUMA ZA MAUAJI YAKIHUSISHA IMANI ZA KISHIRIKINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-eBO3zmYTl-A/VPWi_eJ8SoI/AAAAAAAHHT4/LohOaahrfsY/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
Watu watatu wameuawa Wilayani Kongwa Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti yanayohusisha imani za kishirikina.
Akizungumzia matukio Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 01/03/2015 majira ya saa 01:00hrs katika kitongoji cha Golani, kijiji cha Masinyeti, kata ya Iduo, tarafa ya Mlali Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma ambapo mtu mmoja...