Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BILA UJANJA HATA UWE NA TABIA NZURI, FIGA BOMBA HUFAI KUWA MKE!

Niwiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida.Nimshukuru Mungu kwa kila jambo, hasa nimshukuru kwa kunipa kipaji hiki cha kuweza kuwashauri wenzangu juu ya mambo yanayogusa maisha ya kimapenzi. Si kila mtu anaweza kuifanya kazi hii lakini naamini mimi ni kati ya wachache waliochaguliwa na Mungu kuitelekeza.
Mpenzi msomaji wangu,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SIRI YA FIGA BOMBA YA LULU YAFICHUKA!

Stori: Shakoor Jongo
SIRI ya muonekano mzuri wa msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ imefichuka baada ya kubainika kuwa, amekuwa akifanya mazoezi kila siku kwa kwenda gym. Lulu akifanya mazoezi. Lulu alianika siri hiyo hivi karibuni kupitia mtandao wa instargram kwa kutupia picha zikimuonesha akiwa kwenye tizi na baadae alipozi na kujifotoa picha ambazo zilimuonesha akiwa na umbo la kuvutia zaidi huku...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Young Dee — Ujanja Ujanja

Video mpya ya rapper Young Dee wimbo unaitwa ” Ujanja Ujanja” video imeongozwa na Khalfani Khalmandro Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Music: Young Dee — Ujanja Ujanja

Rapper Young Dee baada ya kuacha video ya wimbo mpya wa “Ujanja Ujanja” hii ni Audio Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba nzuri bila utashi wa kisiasa ni bure

DESEMBA 30, 2013, rasimu ya pili ya katiba imewasilishwa serikalini. Ni ishara kwamba tunaelekea kupata Bunge la Katiba,  kura ya maoni na hatimaye katiba mpya kama itaridhiwa. Ukisikiliza maoni kutoka...

 

9 years ago

Mwananchi

Mke mzuri tabia

Mabibi ni mama zetu, si vyema kuwaingilia, Wengine ni dada zetu, hatarini wajitia, Wajifanya mtukutu, utajikuta pabaya, Mke mzuri tabia, sura haina maana,

 

10 years ago

Vijimambo

MKE UBADIRISHA TABIA

Jamaa alishindwa kukaanalo moyoni akaamua alimwage kama lilivyo kwa mkewe kiroho safi lakini kwa masikitiko.

 

10 years ago

Mwananchi

TAMBO: Simba: Hata bila Okwi Yanga italia tu

>Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola amesema pamoja na mshambuliaji Emmanuel Okwi kutimkia Denmark, kipigo kwa Yanga kipo pale pale.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha Mbeya kubadili tabia za vijana bila shuruti

SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Mbeya (CPCT), wameamua kubadilisha tabia za vijana bila shuruti. Katika kubadilisha tabisa...

 

11 years ago

GPL

HAPPINESS: KUWA MISS TZ SI LAZIMA UWE MCHARUKO!

Stori: Imelda Mtema
Miss Tanzania 2013, Hapiness Watimanywa, ameibuka na kusema kuwa kunyakuwa taji la urembo wa Miss Tanzania sio tiketi ya kuwa na skendo mbalimbali au kufanya mambo ambayo ni kinyume na maadili. Miss Tanzania 2013, Hapiness Watimanywa. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Happy alisema kuwa anaamini siyo kwamba mtu anapopata taji la urembo ndiyo linampa kichwa cha kuwa mcharuko, bali inategemea na uelewa wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani