Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BILA WAPENZI WAO, WASINGEKUWA MASTAA BONGO!

Na Hamida Hassan Ukijaribu kufuatilia utabaini kuwa, wengi ambao sasa ni maarufu, wamefanya mambo makubwa! Walikuwa hawajulikana huko nyuma lakini walipoingia kwenye muziki, filamu na fani nyinginezo kisha wakafanya vizuri, walijikuta kwenye orodha ya mastaa. Kwa hapa Bongo, wapo watu ambao wana majina lakini yawezekana wasingeingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na wale ambao tayari ni mastaa, wasingekuwa na umaarufu walionao leo....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao

Ripoti inasema kuwa asilimia 61 ya wanawake waliuawa na wanaume au waliuliwa na wapenzi wao wa sasa au wa zamani.

 

9 years ago

MillardAyo

Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)

Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]

The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanaume kuwakacha wapenzi wao

Wanawake nchini England na duniani wanajiandaa kwa ajili ya mapumziko ya kimapenzi kutoka kwa waume na wapenzi wao, ambao sasa watazigeukia runinga zao kwa ajili ya Kombe la Dunia.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwa nini watu wanaonyanyaswa hawawaachi wapenzi wao?

Simulizi ya masaibu ya mwanaume aliyenyanyaswa kingono na jinsi alivyojinasua.

 

9 years ago

Michuzi

SIMBA SC yashukuru wanachama na wapenzi kwa ushirikiano wao



  Hajj Sunday Manara Mkuu wa habari wa Simba   Hajj Sunday Manara Mkuu wa habari wa Simba katika ubora wake   Hajj Sunday Manara Mkuu wa habari wa Simba kama baba yake Sunday Manara 'Computer' Rais wa Simba Mhe. Evans Aveva akitoka maelekezo toka benchi la ufundi kama Mourinho


Kwa niaba ya Rais wa klabu yenu pendwa Simba SC Mhe. Evans Aveva na uongozi mzima wa klabu napenda kuwashukuru wanachama na wapenzi wetu wote waliosafiri kutoka sehemu mbalimbali za nchi.kwenda mkoani Tanga kwa ajili ya...

 

9 years ago

Michuzi

MSUMAJI WA SIMBA HAJI SUNDAY MANARA AWAPONGEZA WAPENZI WAO

Wapendwa wana-Simba wenzangu,
Ninawaandikia ujumbe huu makhsus kuwashukuru kwa mara nyingine kwa kazi nzuri mliyoifanya uwanjani Leo kwa kuishangilia timu yenu mwanzo mwisho kwenye mchezo wetu dhidi ya Kagera Sugar uwanja wa Taita.
Mimi  naamini bila ya support yenu Simba haiwezi kufanya vizuri hata siku moja.

Pia kwa niaba ya uongozi wenu tunawashkuru sana wapenzi wetu ambao  hawakujaaliwa kufika uwanjani hii leo. Sisi tunaamini dua na sala zao zmesaidia kutupa nguvu hii leo na kupata points...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani