BILA WAPENZI WAO, WASINGEKUWA MASTAA BONGO!
![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOgVnJTZb1ojQoMMQNDdqJemWw26fpTCf1gMQVb8XXJaBIwTOPA8uveSBy-BT8oIOuPgHJ-U74RIZEt4MQBKYWEG/Mastaa.jpg?width=650)
Na Hamida Hassan Ukijaribu kufuatilia utabaini kuwa, wengi ambao sasa ni maarufu, wamefanya mambo makubwa! Walikuwa hawajulikana huko nyuma lakini walipoingia kwenye muziki, filamu na fani nyinginezo kisha wakafanya vizuri, walijikuta kwenye orodha ya mastaa. Kwa hapa Bongo, wapo watu ambao wana majina lakini yawezekana wasingeingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na wale ambao tayari ni mastaa, wasingekuwa na umaarufu walionao leo....
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Mauaji: Wanawake wanauwezekano mkubwa wa kuuliwa na wapenzi wao au waliokua wapenzi wao
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha)
Najua nina watu wangu mnaopenda kufahamu magari wanayomiliki mastaa mbalimbali wakiwemo Bongo Movie na Bongo Fleva, sasa hapa nimefanikiwa kupata picha 11 za mastaa wanaomiliki magari makali Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Magari 11 ya mastaa wa Bongo Fleva/Bongo Movie 2015 (+Picha) appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Wanaume kuwakacha wapenzi wao
5 years ago
BBCSwahili15 May
Kwa nini watu wanaonyanyaswa hawawaachi wapenzi wao?
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qp7d6C24hq4/Vfrz7IjsmNI/AAAAAAAH5oY/jsHDvCblLtA/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
SIMBA SC yashukuru wanachama na wapenzi kwa ushirikiano wao
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qp7d6C24hq4/Vfrz7IjsmNI/AAAAAAAH5oY/jsHDvCblLtA/s640/download%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-UbfVxLIFBFQ/Vfrz8JcJejI/AAAAAAAH5ok/vWPCorgT6cI/s640/images%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cK-vpyRfj0g/Vfrz8qvHn9I/AAAAAAAH5os/30bp-7upHnw/s640/images%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jkD6bbh96Hk/Vfrz9DAdVTI/AAAAAAAH5ow/mjn_PH-yZIk/s640/images%2B%25283%2529.jpg)
Kwa niaba ya Rais wa klabu yenu pendwa Simba SC Mhe. Evans Aveva na uongozi mzima wa klabu napenda kuwashukuru wanachama na wapenzi wetu wote waliosafiri kutoka sehemu mbalimbali za nchi.kwenda mkoani Tanga kwa ajili ya...
11 years ago
Michuzi16 Jun
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vEgm9WIQOzY/Vf75i9Lz9oI/AAAAAAAH6YU/KbGomSbLYLM/s72-c/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
MSUMAJI WA SIMBA HAJI SUNDAY MANARA AWAPONGEZA WAPENZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-vEgm9WIQOzY/Vf75i9Lz9oI/AAAAAAAH6YU/KbGomSbLYLM/s320/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Ninawaandikia ujumbe huu makhsus kuwashukuru kwa mara nyingine kwa kazi nzuri mliyoifanya uwanjani Leo kwa kuishangilia timu yenu mwanzo mwisho kwenye mchezo wetu dhidi ya Kagera Sugar uwanja wa Taita.
Mimi naamini bila ya support yenu Simba haiwezi kufanya vizuri hata siku moja.
Pia kwa niaba ya uongozi wenu tunawashkuru sana wapenzi wetu ambao hawakujaaliwa kufika uwanjani hii leo. Sisi tunaamini dua na sala zao zmesaidia kutupa nguvu hii leo na kupata points...