Binyavanga:Mimi ni mpenzi wa jinsia moja
Mwandishi maarufu wa vitabu nchini Kenya, Binyavanga Wainaina, amejitokeza hadharani kuwa yeye hushiriki mapenzi ya jinsia moja.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Refarii 'mpenzi wa jinsia moja' kulipwa
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Obama:Katibu wa jeshi ni mpenzi wa jinsia moja
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Refarii ‘mpenzi wa jinsia moja’ kulipwa fidia
ANKARA, UTURUKI
MWAMUZI mmoja nchini Uturuki, Halil Dincdag, aliyefukuzwa kazi kwa tuhuma ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja, ameshinda kesi dhidi ya shirikisho la soka la nchini humo.
Mahakama nchini Uturuki imeamuru shirikisho hilo kumlipa fidia mwamuzi huyo kiasi cha dola za Marekani 8,000 kutokana na kushinda kesi hiyo.
Dincdag amefurahia ushindi huo na kusema kuwa ni ushindi kwa watu wanaobaguliwa kijinsia hasa katika michezo nchini Uturuki.
“Sio ushindi wangu peke yangu ila ni kwa...
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Kenyatta: Hatutajadili jinsia moja
11 years ago
BBCSwahili02 Feb
Wapenzi wa jinsia moja kuwakilishwa A.K
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Sheria ya ndoa za jinsia moja yaanzishwa
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Wapenzi wa jinsia moja watoroka Uganda
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Balozi wa mapenzi ya jinsia moja Vatican
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
Mapenzi ya jinsia moja yamponza Anwar