Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Binyavanga:Mimi ni mpenzi wa jinsia moja

Mwandishi maarufu wa vitabu nchini Kenya, Binyavanga Wainaina, amejitokeza hadharani kuwa yeye hushiriki mapenzi ya jinsia moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Refarii 'mpenzi wa jinsia moja' kulipwa

Refarii mmoja nchini Uturuki aliyefutwa kazi kwa tuhuma kuwa anashiriki mapenzi ya jinsia moja, ameshinda kesi dhidi ya shirikisho la soka la Uturuki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama:Katibu wa jeshi ni mpenzi wa jinsia moja

Rais Barack Obama amemteua Eric Fanning kuwa katibu mpya katika jeshi la Marekani.

 

9 years ago

Mtanzania

Refarii ‘mpenzi wa jinsia moja’ kulipwa fidia

Halil DincdagANKARA, UTURUKI

MWAMUZI mmoja nchini Uturuki, Halil Dincdag, aliyefukuzwa kazi kwa tuhuma ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja, ameshinda kesi dhidi ya shirikisho la soka la nchini humo.

Mahakama nchini Uturuki imeamuru shirikisho hilo kumlipa fidia mwamuzi huyo kiasi cha dola za Marekani 8,000 kutokana na kushinda kesi hiyo.

Dincdag amefurahia ushindi huo na kusema kuwa ni ushindi kwa watu wanaobaguliwa kijinsia hasa katika michezo nchini Uturuki.

“Sio ushindi wangu peke yangu ila ni kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta: Hatutajadili jinsia moja

Rais Uhuru Kenyatta amekariri kuwa swala la jinsia moja halitajadiliwa katika mkutano wake na rais Barack Obama

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa jinsia moja kuwakilishwa A.K

Chama kipya kinachowatetea wapenzi wa jinsia moja kitasimamisha wagombea katika uchaguzi mkuu nchini Afrika Kusini mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sheria ya ndoa za jinsia moja yaanzishwa

Kinara mkuu wa chama cha upinzani cha Labour nchini Australia, ameanzisha sheria inayokubalia ndoa ya wapenzi wa jinsia moja,

 

9 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa jinsia moja watoroka Uganda

Mamia ya watu wa jamii ya jinsia moja nchini Uganda wamelitoroka taifa hilo ili kukwepa ubaguzi na mateso.

 

10 years ago

BBCSwahili

Balozi wa mapenzi ya jinsia moja Vatican

Ufaransa imesema kuwa inangojea jibu kutoka kanisa Katoliki kuhusu uajiri wa balozi wa mapenzi ya jinsia moja huko Vatican

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapenzi ya jinsia moja yamponza Anwar

Hatima ya kiongozi wa upinzani nchini Malaysia Anwar Ibrahim ni mwezi march mwaka huu iwapo atafungwa jela ama la.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani