Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama:Katibu wa jeshi ni mpenzi wa jinsia moja

Rais Barack Obama amemteua Eric Fanning kuwa katibu mpya katika jeshi la Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Binyavanga:Mimi ni mpenzi wa jinsia moja

Mwandishi maarufu wa vitabu nchini Kenya, Binyavanga Wainaina, amejitokeza hadharani kuwa yeye hushiriki mapenzi ya jinsia moja.

 

9 years ago

BBCSwahili

Refarii 'mpenzi wa jinsia moja' kulipwa

Refarii mmoja nchini Uturuki aliyefutwa kazi kwa tuhuma kuwa anashiriki mapenzi ya jinsia moja, ameshinda kesi dhidi ya shirikisho la soka la Uturuki.

 

9 years ago

Mtanzania

Refarii ‘mpenzi wa jinsia moja’ kulipwa fidia

Halil DincdagANKARA, UTURUKI

MWAMUZI mmoja nchini Uturuki, Halil Dincdag, aliyefukuzwa kazi kwa tuhuma ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja, ameshinda kesi dhidi ya shirikisho la soka la nchini humo.

Mahakama nchini Uturuki imeamuru shirikisho hilo kumlipa fidia mwamuzi huyo kiasi cha dola za Marekani 8,000 kutokana na kushinda kesi hiyo.

Dincdag amefurahia ushindi huo na kusema kuwa ni ushindi kwa watu wanaobaguliwa kijinsia hasa katika michezo nchini Uturuki.

“Sio ushindi wangu peke yangu ila ni kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta: Hatutajadili jinsia moja

Rais Uhuru Kenyatta amekariri kuwa swala la jinsia moja halitajadiliwa katika mkutano wake na rais Barack Obama

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa jinsia moja kuwakilishwa A.K

Chama kipya kinachowatetea wapenzi wa jinsia moja kitasimamisha wagombea katika uchaguzi mkuu nchini Afrika Kusini mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kanisa laidhinisha ndoa za jinsia moja

Kanisa la Presbyterian nchini Marekani ,limebadilisha sheria yake ya ndoa na kuwajumuisha watu wa jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto waasiliwa na wapenzi wa jinsia moja

Mahakama mjini London yawaruhusu wapenzi wa jinsia moja kuasili watoto wa wazazi wa Slovakia walioshindwa kuwalea watoto hao

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu wa jinsia moja kuchunguzwa, Uganda.

Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni ataka hisia za watu wa jinsia moja kuchunguzwa .

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapenzi ya jinsia moja haramu Uganda

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametia saini mswada unaotoa adhabu kali kwa watakaoshiriki mapenzi ya jinsia moja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani