Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Birthday ya Julius Manase yafana Dc.

Bw na Bibi Manase wakipoz katika red carpet ya Birthday ya Manase huko "FOGO DE CHAO" katika jiji la Washington Dc Jumamosi Januari 24 kusheherekea siku ya kuzaliwa. Manase .
Bw. na Bibi Shomari wakiungana na Manase's. Manase na wadau.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

SURPRISE BIRTHDAY PARTY YA PETER WALDEN YAFANA HUKO BOWIE MD

IMG_5947Designer wa nguo (PSW) Peter Walden na mkewe Frida Walden wakiwa wenye nyuso za furaha wakati kusheherekea Birthday yake nyumbani kwake huko Bowie Md Jumamosi Novemba mosi,2014. IMG_5937Birthday boy akiwa na mama yake. IMG_5965Cake ya Birthday iliyowekwa nembo ya nguo za Peter (Perfect Gentleman by PSW. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Vijimambo

SURPRISE BIRTHDAY PARTY YA PETER WALDEN YAFANA HUKO BOWIE MARYLAND NCHINI MAREKANI

IMG_5947Designer wa nguo (PSW) Peter Walden na mkewe Frida Walden wakiwa wenye nyuso za furaha wakati kusheherekea Birthday yake nyumbani kwake huko Bowie Md Jumamosi Novemba mosi,2014. IMG_5937Birthday boy akiwa na mama yake. IMG_5965Cake ya Birthday iliyowekwa nembo ya nguo za Peter (Perfect Gentleman by PSW). IMG_5921Justus na mkewe. IMG_5968Bw,Adoko, Sharon na mkewe Jackie Adoko. kwa picha zaidi bofya soma zaidi
IMG_5957Na Dj Mwajuma kushoto na Mariam wakifanya vitu. IMG_5927Stanley na Irene na mtoto wao. IMG_5904Bw.Alex na Kwiz a.k.a Lady Gaga. IMG_5942

 

11 years ago

GPL

BIRTHDAY YA MAMAA WA MITINDO, ASIA KHAMSIN IDAROUS YAFANA KWENYE KIOTA CHA NYUMBANI LOUNGE‏

Mbunifu Mkongwe wa Mavazi nchini Mamaa wa Mitindo Asia Khamsin Idarous jana alisheherekea siku yake ya kuzaliwa na ndugu, jamaa na marafiki katika mnuso wa nguvu uliofanyika kwenye kiota cha Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam. Zifuatazo ni picha mbalimbali za matukio katika mnuso huo wa nguvu. Mbunifu Mkongwe wa Mavazi nchini Mamaa wa Mitindo Asia Khamsin Idarous, akizungumza machache kabla ya kukata cake kwenye mnuso wake...

 

11 years ago

Bongo Movies

Birthday ya Wema jana: Diamond amnunulia gari jipya kama zawadi ya birthday

Jumapili ya September 28 ilikuwa ni siku ya kuzaliwa mrembo aliyebeba taji la Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu. katika kusheherekea siku hiyo mpenzi wake Nasib Abdul a.k.a Diamond Platnumz alithibitisha kwa vitendo kuwa mapenzi yao bado yako imara, kwa kumnunulia zawadi ya gari jipya aina ya Nissan.

wema6

Picha ya gari hilo la rangi nyeusi iliambaatana na ujumbe mzuri ambao Diamond alimwandikia wema kupitia akaunti yake ya Instagram yenye followers 236,841.

“Nlitama nikupe vingi, wenda...

 

10 years ago

The Economist

Challenging the descendants of Julius


In Homeland Security
Challenging the descendants of Julius
The Economist
WHEN John Magufuli, the presidential candidate of Tanzania's ruling party, visits Mwanza, a mining city in the country's north-west, tens of thousands of fans pack into a park in the centre of the city. The crowd is a sea of green and yellow flags—the ...
Country Tense Ahead of Too-Close-to-Call ElectionAllAfrica.com
Why Mpanda ex-lawmaker quit ChademaDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Our victory will...

 

11 years ago

BBCSwahili

Julius Malema mahakamani leo

Julius Malema wa chama cha Economic Freedom Front nchini A-Kusini atafika mbele ya Mahakama kuu ya Polokwane kujibu mashitaka

 

10 years ago

Mtanzania

Julius Mtatiro rasmi Segerea

mtatiroNa Elizabeth Hombo, Dar es Salaam

VYAMA vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), vimemteua aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro kuwa mgombea wa ubunge katika Jimbo la Segerea jijini Dar es Salaam.

Hatua ya kuteuliwa kwa Mtatiro kuwania ubunge katika jimbo hilo imefuta ndoto za baadhi ya makada wa Chadema ambao walikuwa wakitajwa kutaka kuwania jimbo hilo.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana alisema ameteuliwa kuwa mgombea na amechukua fomu ya...

 

10 years ago

BBC

Julius Malema ejected from parliament

Fiery South African politician Julius Malema is ejected from parliament after refusing to retract comments he made against Deputy President Cyril Ramaphosa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani