BI.RUTH MANFRED NDIYE MSHINDI BIBI BOMBA 2014
Mashindano ya kumtafuta Bibi bomba mwaka 2014 yalifanyika Mikocheni katika ukumbi wa Saadani Parking national hotel, mgeni rasmi alikuwa Bi.Anna Kilango na aliyefanikiwa kuibuka mshindi usiku huo ni Bi Rusi Manfred ambaye alijipatia zawadi ya shilingi milioni kumi za kitanzania na kiwanja chenye thamani ya shilingi Milioni tano.
Washiriki walioingia tano bora.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi29 Jun
Bi Rusi Manfred ndiye Bibi Bomba 2014
moja ya zawadi...
11 years ago
CloudsFM27 Jun
Fainali ya Bibi Bomba ni leo kuonekana Live Clouds TV, mshindi kunyakua kitita cha shs.Mill.13
Fainali ya Bibi Bomba ni leo inafanyika kwenye jumba maeneo ya Mikocheni kuonekana Live Clouds TV,mshindi kunyakua kitita cha shs.Mill.13.
10 years ago
Michuzi13 Aug
ELIZABETH TARIMO NDIYE MSHINDI WA MISS KANDA YA MASHARIKI 2014
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qzd10IHg56E/U-octUGkefI/AAAAAAAAV2o/EbqT0Rt0NIM/s1600/KIDEDEA%2BMISS%2BKANDA%2BYA%2BMASHARIKI..jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IkGzx41EZoI/VJkZFvM1VdI/AAAAAAAG5Tg/8jiDDbSoU3I/s72-c/60c0dfa0-695f-11e4-bed6-93ee9fdcc61d_Tanzania-Nale-Boniface.jpg)
MSHINDI WA PILI WA MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 NDIYE ATAIWAKILISHA NCHI MASHINDANO YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IkGzx41EZoI/VJkZFvM1VdI/AAAAAAAG5Tg/8jiDDbSoU3I/s1600/60c0dfa0-695f-11e4-bed6-93ee9fdcc61d_Tanzania-Nale-Boniface.jpg)
Hatua hii imechukuliwa baada ya mshindi husika Miss Universe Tanzania 2014, Carolyne Bernard kupata ajali na kuvunjika kidole chake cha mguu. Ripoti ya daktari imeonyesha kuwa kupona kwake kutachukua mwezi mmoja wakati mrembo anatakiwa awe...
10 years ago
Vijimambo23 Dec
MSHINDI WA PILI WA MISS UNIVERSE TANZANIA 2014 NDIYE ATAIWAKILISHA NCHI MASHINDANO YA KIMATAIFA
![](http://beauty-around.com/images/sampledata/mISS_UNIVERSE/Miss_Universe_logo_E.frstephensmuts.wordpress.jpg)
Kamati ya Miss Universe Tanzania imemteua mshindi wa pili wa Miss Universe 2014, Nale Boniface kwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya kimataifa ya Miss Universe yatakayofanyika mwanzoni mwa mwezi wa kwa kwanza 2015 Miami, Marekani.
Hatua hii imechukuliwa baada ya mshindi husika Miss Universe Tanzania 2014, Carolyne Bernard kupata ajali na kuvunjika kidole chake cha mguu. Ripoti ya daktari imeonyesha kuwa kupona kwake kutachukua mwezi mmoja wakati mrembo anatakiwa awe mashindanoni...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Sakina Lyoka na siri ya kuanzisha ‘Bibi Bomba’
CHANGAMOTO ni sehemu ya maisha ya kila mwanadamu katika shughuli zake za kila siku, kwani bila hivyo hauwezi kusonga mbele katika malengo ambayo umejipangia kuyafikia. Hayo ni maneno ya mratibu...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Malkia Kopa, Dogo Aslay wapagawisha Bibi Bomba
MSANII kinda wa muziki wa kizazi kipya, Dogo Aslay na Malikia wa Mipasho duniani, Khadija Kopa ‘Top In Town’ juzi walipagawisha katika hafla ya shindano la Bibi Bomba iliyofanyika ukumbi...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Hukumu kwa Clouds Radio na TV ukiukwaji wa kanuni za utangazaji kipindi cha Bibi Bomba na njia panda
Mwenyekiti wa Kamati Maudhui Eng. Margaret Munyagi (wa pili kulia), akisoma hukumu dhidi ya Could FM na Clouds TV kuhusu uvunjwaji wa kanuni za utangazaji.. Wengine toka kushoto, Abdul Ngarawa, Joseph Mapunda na Walter Bugoya.(Picha kwa hisani ya Innocent Mungy wa TCRA).
Rulling Clouds Fm Radio by moblog
9 years ago
Habarileo24 Oct
JK: Magufuli ndiye mshindi
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amesema tayari mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli ameshashinda uchaguzi.