Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sakina Lyoka na siri ya kuanzisha ‘Bibi Bomba’

CHANGAMOTO ni sehemu ya maisha ya kila mwanadamu katika shughuli zake za kila siku, kwani bila hivyo hauwezi kusonga mbele katika malengo ambayo umejipangia kuyafikia.  Hayo ni maneno ya mratibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Bi Rusi Manfred ndiye Bibi Bomba 2014

Mashindano ya kumtafuta Bibi bomba mwaka 2014 yalifanyika Mikocheni katika ukumbi wa Saadani Parking national hotel jijini Dar es salaam , mgeni rasmi alikuwa Bi.Anna Kilango. Aliyefanikiwa kuibuka mshindi usiku huo ni Bi Rusi Manfred ambaye alijipatia zawadi ya shilingi milioni kumi za kitanzania na kiwanja chenye thamani ya shilingi Milioni tano. Bi Rusi akikabidhiwa zawadi yake

Mashabiki wakimshangilia Mshindi

Bi Rusi akiwa ameshikiria Hati ya kiwanja kama
moja ya zawadi...

 

11 years ago

CloudsFM

BI.RUTH MANFRED NDIYE MSHINDI BIBI BOMBA 2014

Mashindano ya kumtafuta Bibi bomba mwaka 2014 yalifanyika Mikocheni katika ukumbi wa Saadani Parking national hotel, mgeni rasmi alikuwa Bi.Anna Kilango na aliyefanikiwa kuibuka mshindi usiku huo ni Bi Rusi Manfred ambaye alijipatia zawadi ya shilingi milioni kumi za kitanzania na kiwanja chenye thamani ya shilingi Milioni tano.Washiriki walioingia tano bora.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malkia Kopa, Dogo Aslay wapagawisha Bibi Bomba

MSANII kinda wa muziki wa kizazi kipya, Dogo Aslay na Malikia wa Mipasho duniani, Khadija Kopa ‘Top In Town’ juzi walipagawisha katika hafla ya shindano la Bibi Bomba iliyofanyika ukumbi...

 

11 years ago

CloudsFM

Fainali ya Bibi Bomba ni leo kuonekana Live Clouds TV, mshindi kunyakua kitita cha shs.Mill.13

Fainali ya Bibi Bomba ni leo inafanyika kwenye jumba maeneo ya Mikocheni kuonekana Live Clouds TV,mshindi kunyakua kitita cha shs.Mill.13.

 

10 years ago

Dewji Blog

Hukumu kwa Clouds Radio na TV ukiukwaji wa kanuni za utangazaji kipindi cha Bibi Bomba na njia panda

10492481_10202574900320231_1094175545817198175_n

Mwenyekiti wa Kamati Maudhui Eng. Margaret Munyagi (wa pili kulia), akisoma hukumu dhidi ya Could FM na Clouds TV kuhusu uvunjwaji wa kanuni za utangazaji.. Wengine toka kushoto, Abdul Ngarawa, Joseph Mapunda na Walter Bugoya.(Picha kwa hisani ya Innocent Mungy wa TCRA).

Rulling Clouds Fm Radio by moblog

 

11 years ago

GPL

SIRI YA FIGA BOMBA YA LULU YAFICHUKA!

Stori: Shakoor Jongo
SIRI ya muonekano mzuri wa msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ imefichuka baada ya kubainika kuwa, amekuwa akifanya mazoezi kila siku kwa kwenda gym. Lulu akifanya mazoezi. Lulu alianika siri hiyo hivi karibuni kupitia mtandao wa instargram kwa kutupia picha zikimuonesha akiwa kwenye tizi na baadae alipozi na kujifotoa picha ambazo zilimuonesha akiwa na umbo la kuvutia zaidi huku...

 

10 years ago

GPL

SAKINA APELEKA ZAWADI KWA WATOTO YATIMA

Mtangazaji wa kipindi cha Ng’aring’ari Sakina Lyika akizungumza jambo huku akiwa amembeba mtoto ambaye aliachwa na wazazi wake kituoni hapo. Baadhi ya wafanyakazi wa Afri Tea wakiandaa Uji Bora kwaajili kuwapa watoto.…

 

11 years ago

GPL

SAKINA WA GLOBAL AADHIMISHA ‘BETHIDEI’ YAKE KWA SHANGWE

Sakina akijiandaa kuwalisha keki baadhi ya wafanyakazi wenzake. ‘Mtoto aliyezaliwa’, Sakina, akimimina juisi kwa wafanyakazi wenzake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani