Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter ataka afunguliwe kushiriki soka

Rais wa shirikisho la kandanda duniani Fifa Sepp Blatter ambae amesimamisha kwa muda wa siku tisini kutojihusisha na soka,ametaka kifungo hicho kufutwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

9 years ago

Global Publishers

Blatter, Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka

Michel-PlatiniSepp-Blatte-001Platini (kushoto) akiwa na Blatter

Zurich, Uswisi
Aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter na aliyekuwa Makamu wa Rais wa Fifa na Rais wa Shirikisho la Soka Barani Ulaya (UEFA), Michel Platini, wamekutwa na hatia katika sakata la rushwa na matumizi mabaya ya ofisi yaliyokuwa yakiwakabili na kila mmoja amefungiwa miaka 8 kutojihusisha na masuala yoyote yanayohusu mchezo wa soka.

PlatiniBlatter (kushoto) akiwa na Platini

Hukumu hiyo imetolewa na kamati ya maadili ya Fifa leo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Blatter Ataka muhula wa 5 urais Fifa

Rais wa shirikisho la kanda FIFA, Sepp Blatter, amesema yuko tayari kuendelea na wadhfa huo kwa muhula mwengine wa 5.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa Iran apata agizo la jaji kushiriki katika soka

Mwanamke mmoja ambaye ni nyota wa soka nchini Iran amefanikiwa kushiriki katika mchuano mmoja ughaibuni baada ya jaji kuzuia juhudi za mumewe za kumtaka kutosafiri.

 

11 years ago

Michuzi

WADAU WA SOKA WAMUNZI MAREHEMU OMARY CHANGA KWA BONANZA LA SOKA

Wadau mbali mbali wa mchezi wa Soka jijini Dar es Salaam,leo wamekutana pamoja kwenye viwanja vya Tabata Shule katika Bonanza la kumuenzi Marehemu Omary Changa (pichani) aliyewahi kuwa Mchezaji katika timu za Yanga,JKT Ruvu,Kagera Suger pamoja na Moro United aliefariki dunia mwezi uliopita.Bonanza hilo limefanyika maalum kwa ajili ya kuchangisha fedha za kuisaidia familia ya Marehemu Changa ikiwa ni pamoja na kuweza kufanikisha kisomo cha Arobaini yake.  Mshambuliaji wa Pembeni wa timu ya...

 

9 years ago

BBC

Who are possible Blatter successors?

BBC Sport takes a look at the eight candidates, including two Africans, thought to be in the running to succeed Fifa chief Sepp Blatter.

 

10 years ago

BBC

Blatter 'under investigation in US'

Outgoing Fifa president Sepp Blatter is being investigated by US officials as part of their inquiry into corruption, US media reports say.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani