Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Blatter kuwania muhula wa 5

Rais wa shirikisho la FIFA, Sepp Blatter, anasema kuwa atawania urais wa shirikisho hilo 2015

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Blatter Ataka muhula wa 5 urais Fifa

Rais wa shirikisho la kanda FIFA, Sepp Blatter, amesema yuko tayari kuendelea na wadhfa huo kwa muhula mwengine wa 5.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bunge lamwezesha Kagame kuwania muhula wa 3

Bunge la Senate la Rwanda limeidhinisha marekebisho katika katiba yatakayomuwezesha rais Paul Kagame kugombea urais kwa muhula wa tatu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Rais Magufuli kuwania muhula wa pili wa uongozi, yapi mafanikio, changamoto?

Rais wa Tanzania, John Magufuli amechukua fomu ya kugombea muhula wa pili wa nafasi ya urais wanchi hiyo kupitia chama chake , Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

9 years ago

Dewji Blog

Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu

Untitled

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.

Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.

Licha ya kuwafungia miaka...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bouteflika aapishwa kwa muhula wa 4

Rais Abdelaziz Bouteflika ameapishwa kwa muhula mwingine wa miaka 4 mamlakani katika hafla iliyofanyika mjini Algiers licha ya hali yake mbaya ya kiafya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rwanda: Bunge laidhinisha muhula wa 3

Bunge la chini la Rwanda limeidhinisha mabadiliko ya katiba yanayopendekeza rais Paul Kagame kuendelea kutawala kwa muhula wa tatu

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la Rwanda laidhinisha muhula wa 3

Bunge la Rwanda limepitisha mswada utakaoidhinisha kubadilishwa kwa sheria na kuruhusu rais kuongoza kwa muhula wa tatu

 

10 years ago

Tanzania Daima

Muhula wa pili wa ujauzito (Wiki 13-26)

TUANZE makala ya leo na kishtua mada  kwa kuwasikiliza washkaji wawili. Mshikaji 1: Maisha ni kama kitabu kikubwa cha hadithi. Kila siku unapoamka unafungua ukurasa mpya. Wewe unajua idadi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapinzani wapinga muhula wa 3 wa Kagame

Wapinzani wa rais wa Rwanda Paul Kagame wameshtumu mapendekezo ya kuifanyia mabadiliko katiba ili kumruhusu kuwania muhula wa tatu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani