BOA yatoa somo kwa wafanyabiashara
BENKI ya Afrika (BOA) imewataka wafanyabiashara wadogo kuonyesha vigezo vinavyotakiwa ili kupata mikopo inayotolewa na benki hiyo, hatua itakayosaidia kuendeleza biashara zao. Hivi karibuni BOA ilisaini mkataba wa sh bilioni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 May
BOA yatoa mikopo nafuu sekta ya afya
BENKI ya BOA Tanzania imeanza kutoa mikopo ya riba nafuu kwa sekta ya afya, ili kuwezesha zahanati, vituo vya afya na hospitali kutoa huduma bora kwa wananchi.
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Benki ya Barclays yatoa somo la ajira kwa wanafunzi wa UDBS
Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Barclays Tanzania, Anna Chacha (kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana kuhusu fursa mbalimbali za ajira ndani ya benki hiyo na pia nini wafanye ili kuweza kumudu ushindani katika soko la ajira ndani ya sekta za kibenki.
![02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/029.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZmfGrNF7vmY/VRsdyVZdxgI/AAAAAAAHOnc/GaSEiZ4BnYM/s72-c/DSCF7732.jpg)
PSPF YATOA SOMO KWA WADAU WA HABARI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZmfGrNF7vmY/VRsdyVZdxgI/AAAAAAAHOnc/GaSEiZ4BnYM/s1600/DSCF7732.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AhIZh75C2lU/VRsdzvihtQI/AAAAAAAHOnw/lIYuvf9rxaw/s1600/DSCF7745.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDNXy8soBPqLr*su9M0giv6eI21wQ2M2JlVx8lERVgbolSX1q3pEQGKJt6V0g9gHnqNFiCJuoJhHYkJgxsNNAwb6/Airtel1.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA SOMO KWA WANAFUNZI KUTUMIA VYEMA MAENDELEO YA TEKNOLOJIA
Wanafunzi wa shule za sekondari kote nchini wameaswa kutumia vizuri maendeleo ya teknolojia yanayotokea kwa sasa ili kuongeza kiwango cha ufaulu nchini. Madai hayo yalitolewa na Meneja Biashara wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kanda ya ziwa Raphael Daudi wakati akikabidhi kompyuta kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kalangalala iliyopo mkoani Geita.
Meneja huyo alisema kumekuwa na wimbi la wanafunzi ambao hutumia...
11 years ago
MichuziSAFARI LAGER YATOA SOMO KWA WACHOMA NYAMA JIJINI MBEYA
9 years ago
MichuziTANGA CEMENT YATOA SOMO LA UPANDAJI MITI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI YA ROSMINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-WQMyrYPqVsk/VdsT0hMSpiI/AAAAAAAHznY/tVUywX7hln0/s640/02.jpg)
11 years ago
MichuziCRDB YATOA SOMO KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI ZAIDI YA 1000 KUHUSU KUWEKA AKIBA
Zaidi ya wajasiriamaili wanawake 1000 kutoka katika Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam wamepata mafunzo ya kuwajengea uwezo wakati wa tamasha la Mwanamke na Akiba, 2014 lililofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala.
Akizungumzia Tamasha hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Naima Malima alisema kuwa lengo la semina hiyo ni kuchochea utamaduni wa kuweka akiba kwa wanawake wajasiriamali na kuwaelimisha aina tofauti ya kuweka...
Akizungumzia Tamasha hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Naima Malima alisema kuwa lengo la semina hiyo ni kuchochea utamaduni wa kuweka akiba kwa wanawake wajasiriamali na kuwaelimisha aina tofauti ya kuweka...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VkR2q43__88/Vkxwq6Wo1QI/AAAAAAAIGlc/LKM_0Y2k-_4/s72-c/01.jpg)
BENKI YA NBC YATOA SOMO KUHUSU HUDUMA ZA ISLAMIC BANKING KWA WATEJA MKOANI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VkR2q43__88/Vkxwq6Wo1QI/AAAAAAAIGlc/LKM_0Y2k-_4/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-tmUHi43zVB0/Vkxwrb1V9iI/AAAAAAAIGlk/6jxyC9U4JlI/s640/02.jpg)
9 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA SOMO KUHUSU UBORA WA HUDUMA YAKE YA ISLAMIC BANKING KWA WATEJA WA MTWARA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania