Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bob Junior; Msanii ‘aliyevaa viatu’ vya baba yake

Samaki mkunje angali mbichi, akishakauka atavunjika. Tafsiri ya usemi huu haimaanishi kutumia nguvu, badala yake maarifa yatumike kwa namna yoyote ili kumfundisha mtoto afuate mstari mwema wa maadili, utakaokuwa neema katika maisha yake ya baadaye.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mgimwa na ndoto za viatu vya baba yake Kalenga

GODFREY Mgimwa ni mwanasiasa kijana ambaye jina lake limevuma hivi karibuni baada ya kujitokeza kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, ambalo lilikuwa linawakilishwa na baba...

 

10 years ago

Bongo5

Bob Junior azungumzia kuchelewa kwa kolabo yake na Chameleone, pamoja na ujio wa ablam ya ‘Ukweli Wangu’

Mwanamuziki na producer wa Sharobaro Record, Bob Junior amezungumzia sababu ya kuchelewa kwa kolabo yake na nyota wa Uganda, Jose Chameleone pamoja na ujio wa ablam yake itwayo ‘Ukweli Wangu’. Bob Junior Akizungumza na Bongo5 leo, Bob Junior alisema sababu kubwa iliyosabisha kuchelewa kutoka kwa wimbo huo, ni Chameleone kuwa busy sana na kushidwa kukaa […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Mmiliki wa kiwanda cha viatu (WOISO) aelezea mafanikio yake kupitia shuguli ya ushonaji viatu

001

Mmiliki wa Kiwanda cha Viatu WOISO kilichopo Tegeta jijini Dar es Salaam ,Bw Kenneth Herman (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akielezea mafanikio yake alioyapata kupitia shuguli za kushona viatu na kuweza kumiliki Kiwanda cha Viatu  na kuwaajili watu zaidi ya 2,50. Kwenye kiwanda hicho (kushoto), Msimazi wa Kiwanda hicho Bi.Teya Herman.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

002

Wafanyakazi wa kiwanda cha WOISO wakiwa kazini.

003

Eliza  Hamad, akiwa na mfanyakazi mwezie Bw.Hilari Kimario...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bob Junior ajipanga upya

BAADA ya kimya cha muda mrefu, mkali wa muziki wa kizazi kipya na muandaaji wa muziki huo, Rahim Rummy ‘Bob Junior’, amesema anatarajia kurudi upya akiwa na kazi yake ya ‘Bolingo’. Akizungumza Dar es Salaam jana,...

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Bob Junior — Bolingo

Rais wa Masharo Baro Bob Junior huu ndo wimbo wake Mpya unaitwa “Bolingo” Producer akiwa ni yeye mwenyewe ngoma imefanyika katika Studio za Sharo baro Records

 

11 years ago

GPL

‎TANZIA‬: MSANII RICHIE AFIWA NA BABA YAKE MZAZI

Single Mtambalike 'Richie'. MSANII wa maigizo na filamu nchini, Single Mtambalike maarufu kwa jina la Richie, amefiwa na baba yake mzazi Mzee Mtambalike usiku wa kuamkia leo, msiba upo Tabata, Dar. Mtandao huu unatoa pole kwa msanii Richie!

 

10 years ago

CloudsFM

BOB JUNIOR, CHAMELEONE KUFANYA KOLABO

Staa wa Bongo Fleva,Bob Junior anatarajia kufanya kolabo na msanii wa kimataifa wa nchini Uganda,Jose Chameleone.

Maandalizi ya ngoma hiyo tayari inafanywa kwenye studio mbili ya Sharobaro Music na studio ya chameleone, na itakua ni ngoma inayofuata kutoka kwa msanii Bob Junior.

 

10 years ago

Mtanzania

Bob Junior: Tutaonana baada ya uchaguzi

Bob JuniorNA THERESIA GASPER,

PRODYUZA na msanii wa Bongo Fleva, Raheem Rummy ‘Bob Junior’, amewataka mashabiki wake waonane baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 kwa kuwa sasa amebanwa na shughuli za uhamasishaji wa upigaji wa kura katika kampeni za wagombea urais.

“Sina mpango wa kuachia wimbo wala albamu yangu kwa sasa, lakini baada ya uchaguzi nitafanya hivyo kwa kuwa nitakuwa na muda mwingi wa kukaa studio na kuandaa muziki mzuri ambao kwa sasa sipati muda huo,” alisema

Bob Junior mkali wa wimbo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani