Bocco aenda Algeria kujaribu bahati yake
Mshambuliaji wa Azam, John Bocco ‘Adebayor’ amekwenda Algeria kwa ajili ya kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Oct
Azam yaenda kujaribu bahati kwa Ndanda
WAKATI michuano ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara ikitarajiwa kuendelea kesho na keshokutwa katika viwanja mbalimbali nchini, timu ya Azam inatarajiwa kuondoka leo kwenda Mtwara kuifuata Ndanda FC ya huko, huku Simba ikiwa jijini Mbeya kuikabili Prisons na Yanga ikiwakaribisha Toto Africans jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA YAKE ALGERIA, AREJEA NCHINI
10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE KATIKA SIKU YA PILI YA ZIARA YAKE RASMI NCHINI ALGERIA



11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Bocco atambia mafanikio Azam FC
NAHODHA wa Azam FC, John Rafael Bocco ‘Adebayor’ametambia rekodi na mafanikio ya kikosi chake, huku akiitaja namba 19 kuwa ni namba ya bahati katika maisha yake ya soka Azam Complex,...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Bocco awatuliza mashabiki Azam
ADAM MKWEPU NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, John Bocco amewatuliza mashabiki wa timu hiyo na kuwataka wasubiri ushindi wa kishindo watakapocheza na Majimaji keshokutwa katika Uwanja wa Majimaji, Songea.
Azam ilipata matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba Jumamosi iliyopita na kufikisha pointi 26 zilizoifanya ishuke hadi nafasi ya pili na kuwapa wapinzani wao Yanga nafasi ya kurudi kileleni kwa kujikusanyia pointi 27.
Akizungumza na MTANZANIA jana nyota huyo...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Bocco kuikosa Mtibwa Jumamosi
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Bocco atangaza vita Simba, City
10 years ago
Mwananchi04 Oct
Mbeya yageuzia kibao Bocco, Mudathir