Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bocco aenda Algeria kujaribu bahati yake

Mshambuliaji wa Azam, John Bocco ‘Adebayor’ amekwenda Algeria kwa ajili ya kufanya majaribio ya kucheza soka ya kulipwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Azam yaenda kujaribu bahati kwa Ndanda

WAKATI michuano ya Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara ikitarajiwa kuendelea kesho na keshokutwa katika viwanja mbalimbali nchini, timu ya Azam inatarajiwa kuondoka leo kwenda Mtwara kuifuata Ndanda FC ya huko, huku Simba ikiwa jijini Mbeya kuikabili Prisons na Yanga ikiwakaribisha Toto Africans jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AHITIMISHA ZIARA YAKE ALGERIA, AREJEA NCHINI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipanda ndege katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Houari Boumediene jijini Algiers Jumatatu ya Mei 11, 2015 baada ya kuhitimisha ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiaga wenyeji wake katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Houari Boumediene jijini Algiers Jumatatu Mei 11, 2015 baada ya kuhitimisha ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.… ...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE KATIKA SIKU YA PILI YA ZIARA YAKE RASMI NCHINI ALGERIA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na akifanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelaziz Bouteflika katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili May 10, 2015 katika siku ya pili ya ziara yake rasmi ya siku tatu nchini humo.Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Algeria Mhe. Abdelaziz Bouteflika katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Algiers Jumapili May 10, 2015 katika siku ya pili ya ziara yake rasmi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bocco atambia mafanikio Azam FC

NAHODHA wa Azam FC, John Rafael Bocco ‘Adebayor’ametambia rekodi na mafanikio ya kikosi chake, huku akiitaja namba 19 kuwa ni namba ya bahati katika maisha yake ya soka Azam Complex,...

 

9 years ago

Mtanzania

Bocco awatuliza mashabiki Azam

John-Bocco-1-e1438774780905ADAM MKWEPU NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI wa Azam FC, John Bocco amewatuliza mashabiki wa timu hiyo na kuwataka wasubiri ushindi wa kishindo watakapocheza na Majimaji keshokutwa katika Uwanja wa Majimaji, Songea.

Azam ilipata matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba Jumamosi iliyopita na kufikisha pointi 26 zilizoifanya ishuke hadi nafasi ya pili na kuwapa wapinzani wao Yanga nafasi ya kurudi kileleni kwa kujikusanyia pointi 27.

Akizungumza na MTANZANIA jana nyota huyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Bocco kuikosa Mtibwa Jumamosi

Daktari wa timu ya Azam, Mwanandi Mwakemwa amesema mshambuliaji John Bocco hataweza kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam kutokana na kusumbuliwa na mshipa wa mguu.

 

11 years ago

Mwananchi

Bocco atangaza vita Simba, City

Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco amewaambia wenzake kama wamedhamilia kutwaa ubingwa msimu huu ni lazima wahakikishe wanaishinda Simba Jumapili na Mbeya City.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeya yageuzia kibao Bocco, Mudathir

Klabu ya Mbeya City imewasilisha taarifa ya rufaa kwenda Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ikieleza upungufu mwingi na kutaka wachezaji wa Azam wachukuliwe hatua za kinidhamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani