Mbeya yageuzia kibao Bocco, Mudathir
Klabu ya Mbeya City imewasilisha taarifa ya rufaa kwenda Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ikieleza upungufu mwingi na kutaka wachezaji wa Azam wachukuliwe hatua za kinidhamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Oct
Kocha Mbeya City aamini kitaeleweka kibao
KOCHA wa muda wa Mbeya City, Abdul Mingange, amesema kukosa wachezaji wenye uzoefu ndiyo sababu ya timu hiyo kufanya vibaya kwenye mechi zao za Ligi Kuu Tanzania Bara.
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Bocco atambia mafanikio Azam FC
NAHODHA wa Azam FC, John Rafael Bocco ‘Adebayor’ametambia rekodi na mafanikio ya kikosi chake, huku akiitaja namba 19 kuwa ni namba ya bahati katika maisha yake ya soka Azam Complex,...
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Bocco awatuliza mashabiki Azam
ADAM MKWEPU NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, John Bocco amewatuliza mashabiki wa timu hiyo na kuwataka wasubiri ushindi wa kishindo watakapocheza na Majimaji keshokutwa katika Uwanja wa Majimaji, Songea.
Azam ilipata matokeo ya sare ya mabao 2-2 dhidi ya Simba Jumamosi iliyopita na kufikisha pointi 26 zilizoifanya ishuke hadi nafasi ya pili na kuwapa wapinzani wao Yanga nafasi ya kurudi kileleni kwa kujikusanyia pointi 27.
Akizungumza na MTANZANIA jana nyota huyo...
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Bocco kuikosa Mtibwa Jumamosi
10 years ago
TheCitizen20 Jul
Bocco stars as Azam stun KCC
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Maguli, Bocco waibeba Kili Stars
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Bocco atangaza vita Simba, City
11 years ago
Mtanzania05 Sep
Bocco, Moris watemwa safari ya Burundi

Timu ya Taifa, Taifa Stars
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kimeondoka leo alfajiri kuelekea mjini Bujumbura, kwa ajili ya kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyo katika Kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) dhidi ya Burundi, huku wachezaji sita wakitemwa katika safari hiyo.
Wachezaji hao waliotemwa katika msafara huo kwa ajili ya mechi itakayochezwa Jumapili mjini humo, ni John Bocco, Aggrey Morris, Mwagane Yeya, Edward...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Bocco apewa jezi kuiua Malawi