Bodi ya Chama kikuu cha Ushirika Rukwa yatakiwa kurudisha heshimuakwa Wakulima
Katibu Tawala wa mkoa wa Rukwa Benard Makali amewataka wajumbe wa Bodi ya Mpito ya Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Rukwa Ufipa Co-operative Union (UCU) kuhakikisha wanazingatia matakwa yote ya kisheria na miongozo ya usimamizi wa Chama hicho kwa weledi wa hali ua juu ili kurudisha heshimu ya Ushirika kwa wakulima na wananchi wa mkoa wa Rukwa.
Amesema kuwa utendaji kazi bora wa bodi hiyo utainua kipato cha wakulima ndani ya mkoa, na hatimae kuinua pato la taifa katika kukuza zao la mahindi na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JWs5A_jjmto/Xqwbx7tjZEI/AAAAAAALoyE/4T65m-0kEdU6f4b3k35bAaFkN-dkw5S9gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2435.jpg)
SIJARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA GEITA-KUSAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JWs5A_jjmto/Xqwbx7tjZEI/AAAAAAALoyE/4T65m-0kEdU6f4b3k35bAaFkN-dkw5S9gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2435.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa amepanda juu ya ngazi kutizama mtambo wa kuchambua pamba katika kiwanda cha Matongo Farming Ltd wilaya ya Geita .Kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha robota 450 zenye uzito wa kilo 200 kwa siku.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2463-1024x682.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( aliyevaa koti la bluu ) akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kiwanda cha Matongo Bw.Mwalida Samson wakitembelea kiwanda hicho mjini Geita leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2509-1024x682.jpg)
Majengo ya kiwanda cha kuchambua pamba yanayomilikiwa na Chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-owenBv1Yuu8/XqsRo1ul8QI/AAAAAAALosg/xfJPMSoGlqkBCmIKcqiYUwMcOlZwfQm2QCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_2238-2048x1365.jpg)
CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA NYANZA CHATAKIWA KUJITEGEMEA KIMAPATO-KUSAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-owenBv1Yuu8/XqsRo1ul8QI/AAAAAAALosg/xfJPMSoGlqkBCmIKcqiYUwMcOlZwfQm2QCLcBGAsYHQ/s640/DSC_2238-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC_2287.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya (aliyevaa tai) akiongea na Menejiment ya Chama Kikuu cha Ushirika Mwanza (Nyanza) na kuwataka kujitegemea kimapato kwa kutumia rasilimali za wakulima zilizopo.Kushoto ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A8ciMRkge4A/XtlHgRPYaKI/AAAAAAALso0/C4tYyJY4XHA1YPPZ2THN29v68aoCVZbJgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1.jpg)
CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA SIMIYU KIMETENGA MILIONI 36.7 KUSAIDIA JAMII
![](https://1.bp.blogspot.com/-A8ciMRkge4A/XtlHgRPYaKI/AAAAAAALso0/C4tYyJY4XHA1YPPZ2THN29v68aoCVZbJgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Bariadi Mhe. Festo Kiswaga (kushoto) akipokea baiskeli iliyotolewa na Chama Kikuu cha Ushirika cha Mkoa wa Simiyu (SIMCU) kwa mtoto Ritha Elias mwenye ulemavu wa miguu(hayupo pichani) kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa SIMCU, Bw. Emmanuel Mwerere makabidhiano hayo yamefanyika sambamba na makabidhiano ya fedha taslimu shilingi 300,000/= Juni 04, 2020 Mjini Bariadi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-2-1.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Bariadi Mhe. Festo Kiswaga (kulia) akimkabidhi mtoto Ritha Elias mwenye ulemavu wa miguu fedha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dwmg0Kie35A/XnczGmM9bDI/AAAAAAALkuA/KdKByf4lYTcp82cDXYcmGMzC5vrKGh30gCLcBGAsYHQ/s72-c/daimu%2Bpicha.jpg)
DC NJOMBE AWATAKA WAKULIMA KUJIUNGA CHAMA CHA USHIRIKA KUKUZA MITAJI YAO
Na Shukrani Kawogo, Njombe.
Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Ruth Msafiri amewataka wakulima kujiunga kwenye chama cha ushirika ili kuweza kukuza mitaji yao kwa kuitumia Benki ya Maendeleo ya Wakulima (TADB) iliyoanzishwa na serikali kwa lengo la kumwezesha mkulima.
Hayo alitasema katika uzinduzi wa shamba la mfano la upandaji wa miti lenye ukubwa wa hekali mbili uliofanywa na wakala wa huduma za misitu Tanzania (TFS) katika kijiji cha Mikongo, Kata ya Kifanya wilayani Njombe ikiwa ni njia ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUU WA PILI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA AKIBA NA MIKOPO TCRA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QwyUVrtkHmY/VmUIJ4iYwdI/AAAAAAAAX2U/lAKp5JDX8lM/s72-c/IMG_0765%2B%25281024x683%2529.jpg)
MAHAFALI YA KWANZA YA CHO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI (MoCU)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QwyUVrtkHmY/VmUIJ4iYwdI/AAAAAAAAX2U/lAKp5JDX8lM/s640/IMG_0765%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-raf9KnKpwN0/VmUISs0riyI/AAAAAAAAX2s/BkJ2547IHSI/s640/IMG_0781%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ASlhTwzGK4w/VmUI8Vb6vzI/AAAAAAAAX4I/cHm20ychg7Q/s640/IMG_0811%2B%25281024x683%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Chuo kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) chafanya mahafali ya kwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-QwyUVrtkHmY/VmUIJ4iYwdI/AAAAAAAAX2U/lAKp5JDX8lM/s640/IMG_0765%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-raf9KnKpwN0/VmUISs0riyI/AAAAAAAAX2s/BkJ2547IHSI/s640/IMG_0781%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rdY2ptC4t-k/VmUIVD4MnMI/AAAAAAAAX20/F1-p8I7f-lk/s640/IMG_0783%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bSGf8tfQqkQ/VmUIWPRpNHI/AAAAAAAAX28/nuYszaaBToA/s640/IMG_0784%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FmIRDCFFnWU/VmUHKcEInmI/AAAAAAAAXzc/_iSslFvD_Oc/s640/IMG_0698%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vVT5yNEVD1I/VmUHUiQnG4I/AAAAAAAAXz8/3o17pyG3Ytc/s640/IMG_0708%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6as9Yy-xIHs/VmUIFudE-OI/AAAAAAAAX2M/Yv7BxaQW7rU/s640/IMG_0761%2B%25281024x683%2529.jpg)