Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BoT kufanyia kazi noti ya Sh1,000

Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema imeanza kufanyia kazi malalamiko ya kukosewa kwa picha ya Rais wa kwanza wa Tanzania, Marehemu Mwalimu Julius Nyerere.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Akiri kukutwa na noti bandia Sh70,000

Mkazi wa Rumala wilayani Ilemela, Erick Godwin (21) amekiri kukutwa na fedha bandia ambazo kama zingekuwa halisi zingekuwa na thamani ya Sh70,000, lakini akadai hakuwa anafahamu lolote.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchina kizimbani kwa kuchana noti ya Sh10,000

>Raia wa China ambaye ni meneja uzalishaji katika kampuni ya ujenzi  Shen Hai,46, amepandishwa kizimbani kwa kosa la kuchana noti ya shilingi 10,000 ambayo ni mali ya Serikali ya Tanzania.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dogo Janja aanza kufanyia kazi Arusha

KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdulaziz Abubakari ‘Dogo Janja’, amesema kwa sasa atakuwa anafanya kazi zake za muziki jijini Arusha kutokana na mashabiki wengi wa Dar es Salaam...

 

10 years ago

Michuzi

WALIMA WATAKIWAKUFUATA USHAURI WA WATAALAMU NA KUFANYIA KAZI MAFUNZO WANAYOPEWA


 Afisa kilimo daraja la kwanza  wa halmashauri ya mbulu  Peter Sangawe   akiwa anaomuonyesha  Mkuu wa mkoa wa Manyara Dk Joel Bendera  jinsi ya kuifadhi  nafaka bila kutumia kemikali  Mkuu wa mkoa wa Manyara Dk Joel Bendera akiwa anakagua vitunguu vinavyolimwa na halimashauri ya mbulu.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Dewji Blog

UN yataka serikali kufanyia kazi mianya inayotishia haki za binadamu

DSC_0102

Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bibi Mary Massay akitambulisha meza kuu wakati wa maadhimisho ya Siku ya haki za binadamu yaliyoenda sambamba  na mkutano wa kujadili utekezaji wa makubaliano ya haki za binadamu nchini na maandalizi ya ripoti ijayo yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog). 

Na Mwandishi  wetu

MRATIBU Mkazi  wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP)...

 

5 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kufanyia kazi nyumbani kutokana na corona

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewataka wafanyakazi wa umoja huo kufanyia kazi nyumbani kwa muda wa mwezi mmoja kutokana na hatari ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 (corona).

Kwa mujibu wa taarifa, siku ya Ijumaa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kuanzia 16 Machi hadi 12 Aprili wafanyakazi wa makao makuu ya umoja huo mjini New York watafanyia kazi zao nyumbani isipokuwa tu wale ambao ni dharura wafike ofisini.

Tangazo hilo limetolewa baada ya mwanadiplomasia wa Ufilipino...

 

10 years ago

GPL

UN YATAKA SERIKALI KUFANYIA KAZI MIANYA INAYOTISHIA HAKI ZA BINADAMU‏

Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bibi Mary Massay akitambulisha meza kuu wakati wa maadhimisho ya Siku ya haki za binadamu yaliyoenda sambamba na mkutano wa kujadili utekezaji wa makubaliano ya haki za binadamu nchini na maandalizi ya ripoti ijayo yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam. Mgeni rasmi Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mh Ali Hassan Rajab akizungumza wakati wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wakulima watakiwa kufuata ushauri wa wataalamu na kufanyia kazi mafunzo wanayopewa

Afisa Kilimo daraja la kwanza  wa halmashauri ya Mbulu, Peter Sangawe akiwa anaomuonyesha  Mkuu wa mkoa wa Manyara, Dk. Joel Bendera  jinsi ya kuifadhi  nafaka bila kutumia kemikali.

Mkuu wa mkoa wa Manyara, Dk .Joel Bendera akiwa anakagua vitunguu vinavyolimwa na halmmashauri ya Mbulu.

Mkurugenzi wa kampuni ya SaBSAI Pangani  Enterprises, Mr Feroz Kassam akiwa anawaonyesha  wananchi waliotembelea  katika shamba darasa lao kuangalia Bontera  mbolea au dawa ambayo inatumika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani