BRAZIL 2014: How a rather lax Nigeria ended Altidore’s dry spell
Real Salt Lake’s Kyle Beckerman paired up with Jermaine Jones behind Michael Bradley and Alejandro Bedoya.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jul
BRAZIL 2014: Nigeria hatihati kufungiwa Fifa
>Nigeria haijarudi nyuma katika uamuzi wake wa kuwafukuza viongozi wote wa shirikisho la soka la nchi hiyo na kupuuza agizo la Fifa na sasa wanakaribia kufungiwa kushiriki michuano ya kimataifa.
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Brazil 2014: Nigeria, Ufaransa, Uswisi zafuzu 16 Bora
Timu za taifa za Nigeria, Ufaransa na Uswisi zimetinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda katika mechi zao za mwisho za hatua ya makundi jana.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki
Kocha Stephen Keshi amewapuuza mashabiki wa soka nchini Nigeria baada ya timu yake kucheza moja ya mechi mbaya za Kombe la Dunia nchini Brazil mapema wiki hii.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
BRAZIL 2014: England nje, Ghana, Nigeria kazini
>Timu ya taifa ya England imeaga rasmi fainali za Kombe la Dunia baada ya Costa Rica kuichapa Italia kwa bao 1-0, katika mchezo wao wa jana.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tkLhn7K1RSE/VmAHvrZOShI/AAAAAAAIJ78/KKMQq19OsPw/s72-c/DSC_0783.jpg)
EALA ADOPTS REPORT OF THE AUDITED ACCOUNTS FOR THE FINANCIAL YEAR ENDED JUNE 2014
EALA has today debated and adopted the Report of the Committee on the Audited Accounts of the EAC for the Year ended 30th June 2014.
During debate, Members called for improvement on the financial performance of the Community, review of procurement procedures and adherence to the set regulations. They further want the absorption of funds by the Community enhanced and reimbursement of all unclaimed Value Added Tax (VAT) followed.
The report presented to the House by the Chair of the Accounts...
During debate, Members called for improvement on the financial performance of the Community, review of procurement procedures and adherence to the set regulations. They further want the absorption of funds by the Community enhanced and reimbursement of all unclaimed Value Added Tax (VAT) followed.
The report presented to the House by the Chair of the Accounts...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
BRAZIL 2014: Brazil yakata rufaa kadi za njano za Thiago Silva
>Brazil imekata rufaa juu ya adhabu ya kukosa mchezo mmoja kwa nahodha wake, Thiago Silva mwenye kadi mbili za njano, ambazo zinamaanisha atalazimika kukosa mchezo wa leo dhidi ya Ujerumani.
11 years ago
TheCitizen28 Jun
BRAZIL 2014: Brazil face Chile as Suarez-less Uruguay confront Colombia
>From 32, it’s down to the last 16. Here there are no second chances. It is win or bust.
11 years ago
Mwananchi09 Jul
BRAZIL 2014: PIGO LA KARNE: Majonzi, vilio kila kona Brazil
>Vilio, majonzi vilitawala kila ni kona ya Brazil baada ya kupokea kipigo cha mbwa mwizi cha mabao 7-1kutoka kwa Ujerumani katika nusu fainali ya kwanzajana kwenye Uwanja wa Mineirao.
11 years ago
Mwananchi05 Jul
BRAZIL 2014: Gustavo pigo kwa Brazil dhidi ya Colombia leo
Licha ya kuwa Neymar ndiye mchezaji anayetajwa zaidi na kuonekana msaada mkubwa katika kikosi cha Brazil, pia uwepo wa Oscar, Thiago Silva na David Luiz unaonekana kuwa muhimu uwanjani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania