Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil 2014: Nigeria, Ufaransa, Uswisi zafuzu 16 Bora

Timu za taifa za Nigeria, Ufaransa na Uswisi zimetinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda katika mechi zao za mwisho za hatua ya makundi jana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ufaransa yaichakaza Jamaica

Matuidi na Benzema walifunga tena katika kipindi cha pili, wakati Giroud na Antoine Griezmann wakiongeza ushindi huo kufikia mabao manane.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Tiketi mechi ya Ujerumani, Ufaransa yauzwa dola 1,000

Tiketi ya pambano la Ujerumani na Ufaransa yafika dola 1,000 katika soko la ulanguzi wa tiketi.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Nigeria hatihati kufungiwa Fifa

>Nigeria haijarudi nyuma katika uamuzi wake wa kuwafukuza viongozi wote wa shirikisho la soka la nchi hiyo na kupuuza agizo la Fifa na sasa wanakaribia kufungiwa kushiriki michuano ya kimataifa.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: England nje, Ghana, Nigeria kazini

>Timu ya taifa ya England imeaga rasmi fainali za Kombe la Dunia baada ya Costa Rica kuichapa Italia kwa bao 1-0, katika mchezo wao wa jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki

Kocha Stephen Keshi amewapuuza mashabiki wa soka nchini Nigeria baada ya timu yake kucheza moja ya mechi mbaya za Kombe la Dunia nchini Brazil mapema wiki hii.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: How a rather lax Nigeria ended Altidore’s dry spell

Real Salt Lake’s Kyle Beckerman paired up with Jermaine Jones behind Michael Bradley and Alejandro Bedoya.

 

9 years ago

Michuzi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Mh. Dk. Binilith Mahenge akutana na mabalozi wa Uswisi na Ufaransa

Waziri wa  Nchi  Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira, Mh. Dk. Binilith Mahenge (wa kwanza kushoto), akijadiliana  na Balozi wa Uswisi  nchini, Bi Florence Tinguely Mattli (katikati),  kuhusu Mkataba wa Mazingira wa Minamata unaohusu matumizi ya Kemikali ya Zebaki na Madhara yake katika Mazingira, Majadilaino hayo yamefanyika katika Ofisi ya Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Mazingira jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na  Katibu Mkuu wa Ofis hiyo Bw. Sazi Salula (kulia), jijini Dar es...

 

10 years ago

BBCSwahili

Brazil yaichapa Ufaransa 3 - 1

Brazili jana aliikimbiza mchamchaka ufaransa baada ya kuichabanga magoli matatu kwa moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani