Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRAZIL 2014: Nigeria hatihati kufungiwa Fifa

>Nigeria haijarudi nyuma katika uamuzi wake wa kuwafukuza viongozi wote wa shirikisho la soka la nchi hiyo na kupuuza agizo la Fifa na sasa wanakaribia kufungiwa kushiriki michuano ya kimataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Suarez hatihati kuendelea Kombe la Dunia

Mchezaji wa Uruguay, Luis Suarez anatarajiwa kukumbana na adhabu kali ambayo itasababisha ashindwe kuendelea na fainali za Kombe la Dunia 2014, ikiwa itathibitika kuwa alimng’ata kwa makusudi Giorgio Chiellini wa Italia.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Maradona awajia juu Fifa

>Diego Maradona ameibwatukia Fifa (Shirikisho la Soka la Kimataifa Duniani), baada ya wachezaji saba wa Costa Rica kutakiwa kupimwa damu kama wanatumia dawa za kulevya kutokana na ushindi wao wa kushtukiza dhidi ya Italia.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Fifa yawatibulia Januzaj, Lukaku Ubelgiji

Ubelgiji ilishinda mechi hiyo ilofutwa kwa mabao 5-1, yakiwamo matatu ya ‘hat trick’ yaliyofungwa na Romelu Lukaku.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: The Fifa #WorldCup as soccer players’ market

Hundreds of soccer talent scouts are already in Brazil to hunt for new players who would have, by the end of the World Cup, succeeded in convincing the world of their worth.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: England nje, Ghana, Nigeria kazini

>Timu ya taifa ya England imeaga rasmi fainali za Kombe la Dunia baada ya Costa Rica kuichapa Italia kwa bao 1-0, katika mchezo wao wa jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Nigeria, Ufaransa, Uswisi zafuzu 16 Bora

Timu za taifa za Nigeria, Ufaransa na Uswisi zimetinga hatua ya 16 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda katika mechi zao za mwisho za hatua ya makundi jana.

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki

Kocha Stephen Keshi amewapuuza mashabiki wa soka nchini Nigeria baada ya timu yake kucheza moja ya mechi mbaya za Kombe la Dunia nchini Brazil mapema wiki hii.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: How a rather lax Nigeria ended Altidore’s dry spell

Real Salt Lake’s Kyle Beckerman paired up with Jermaine Jones behind Michael Bradley and Alejandro Bedoya.

 

9 years ago

StarTV

Vigogo Blatter na Platin hatarini kufungiwa miaka 7 kwa  Kashfa Ya Rushwa Fifa

Ndoto za Rais wa Shirikisho la soka Barani Ulaya,Michel Platin kuwania kiti cha urais wa FIFA sasa zinaonekana kuota mbawa kutokana na kamati ya maadili ya chombo hicho kikubwa cha soka kushauri wafungiwe miaka saba pamoja na Sepp Blatter

Platin pamoja na Sepp Blatter wanaotumikia adhabu ya kusimamishwa siku 90 ndani ya FIFA,kamati hiyo imebaini wana kosa baada ya kupeana fedha paundi  milioni 1.3 zenye mazingira ya rushwa.

Kamati maalum inayosikiliza shauri hilo na kutoa hukumu kabla ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani