Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil kufuru,Iran bei chee

Hakuna shaka fainali za Kombe la Dunia zinazotarajiwa  kuanza Alhamisi ijayo na kuwashuhudia nyota 736 wenyethamani ya mamilioni ya pauni wakishindana na kuumiza nyasi  nchini Brazil kwa mwezi mmoja ndizo ghali zaidi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Iran bei ya kutupa, Brazil haigusiki

Hizi ni fainali zinazoshirikisha wachezaji ghali zaidi duniani.

 

10 years ago

Mwananchi

Amri Kiemba kuuzwa bei chee Msimbazi

Uongozi wa Simba unamuuza kwa bei chee mchezaji wake mkongwe, Amri Kiemba baada ya Azam kuonyesha nia ya kumhitaji ili awasaidie mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

9 years ago

Global Publishers

Kumekucha! Mbuzi wa sikukuu wapo Mbezi na Vingunguti, bei chee!

Mbuzi (1)
Mbuzi (3)

Mbuzi (4)

Mbuzi (5)

Mbuzi (2)

Mbuzi (6)

Kumekucha jijini Dar, ni offer ya aina yake katika msimu huu wa sikukuu za X-Mass na Mwaka Mpya, mbuzi wanono kwa ajili yako na familia yako wanapatikana Mbezi ya Kimara na Vingunguti jijini Dar es salaam kwa bei nafuu sana.

Pia wanafaa kwa nyamachoma, mahotelini, nyumbani na kumbi za starehe.

Weka oda yako sasa kwa kupiga simu namba: 0787 589 318

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kisiwa cha Changuu Z`bar chakodishwa kwa `bei chee`

Waziri wa zamani wa Utalii Biashara na Uwekezaji Zanzibar, Samia Suluhu Hassan(Mgombea mwenza wa Magufuli) Kisiwa cha utalii cha Changuu, kilikodishwa kwa ‘ bei chee’ na kampuni ya Leizure Hotel Limited, ripoti ya Kamati ya Baraza […]

The post Kisiwa cha Changuu Z`bar chakodishwa kwa `bei chee` appeared first on Mzalendo.net.

 

5 years ago

Michuzi

BEI YA SUKARI YATANGAZWA, SERIKALI YAONYA WAFANYABIASHARA WANAOPANDISHA BEI KIHOLELA

 Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa akizungumza na wandishi wa habari leo katika mkutano wa pamoja na Waziri wa Kilimo ambapo wametangaza bei mpya ya sukari na kutoa onyo kwa wafanyabiashara ambao watapandisha bei kiholela.Waziri wa Kilimo, Josephat Hasunga (kulia) akitangaza bei mpya ya sukari nchini baada ya sukari kupanda ghafla katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Corona, pembeni yake ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa.
Charles James, Michuzi TVSERIKALI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani