Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil wakutana na Ujerumani leo

Brazil itakutana na Ujerumani katika nusu fainali ya kwanza

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Jeshi la watu 10,000 laipokea Ujerumani ‘kibingwa’ leo

Zaidi ya watu 10,000 wamejitokeza katika uwanja wa ndege wa Berlin Tegel kuipokea timu yao ya taifa leo, kufuatia kutwaa kwake ubingwa wa Dunia kwa mara ya 4 mnamo Jumapili.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ni Brazil na Ujerumani

>Wenyeji Brazil wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1, katika mchezo wa pili wa robo fainali jana mjini Fortaleza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil 0-7 Ujerumani

Brazil inachuana na Ujerumani katika mechi ya nusu fainali ya kombe la dunia .

 

11 years ago

Mwananchi

Brazil, Ujerumani hapatoshi

Brazil imejikatia tiketi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuilaza Colombia mabao 2-1 katika mechi ngumu ya robo fainali.

 

11 years ago

GPL

AIBU: BRAZIL YAPIGWA 7-1 NA UJERUMANI

André Horst Schürrle (katikati) akifurahia na wachezaji wenzake wa Ujerumani baada ya kufunga bao la 7 dhidi ya Brazil. MWENYEJI wa michuano ya Kombe la Dunia 2014, Brazil ameyaaga mashindano hayo kwa aibu baada ya kupokea kipigo hevi cha mabao 7-1 kutoka kwa Ujerumani. Brazil ameondolewa katika michuano hiyo hatua ya nusu fainali na atalazimika kucheza mechi ya kutafuta mshindi wa tatu na timu itakayopoteza mechi ya leo...

 

11 years ago

Michuzi

maskini brazil....UJERUMANI YAWAPIGA 7-1


Ujerumani goli 7 na Brazil  bao 1.... wanalia. Mara ya mwisho Brazil kupigwa mabao 6 ilikuwa mwaka 1920 na Uruguay...

 

11 years ago

Mwananchi

Ujerumani kujijengea hoteli, uwanja Brazil

Ujerumani itajenga hoteli na uwanja wa mazoezi nchini Brazil kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia Munich, Ujerumani.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ni Argentina na Ujerumani fainali

Timu ya soka ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Dunia baada kuitungua Uholanzi kwa mikwaju ya penalti 4-2, katika mchezo wa jana wa nusu fainali nchini Brazil.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ujerumani - Mabingwa wa Dunia!

Ujerumani ndiyo mabingwa wapya wa dunia baada ya kuichapa 1-0 Argentina katika mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2014, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani