BREAKING NEWS: MSAFARA WA MAKONGORO NYERERE WAPATA AJALI MBAYA MKOANI KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-909DSnCrulk/VXLVBK8mhLI/AAAAAAAHcdI/pyKRlTv1h_E/s72-c/20150606040817.jpg)
Gari lililopata ajali katika msafara wa Mgombea urais, Charles Makongoro Nyerere lililokuwa limebeba wasaidizi wake.
Msafara wa mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Charles Makongoro Nyerere umepata ajali wilayani Kasulu mkoani kigoma mapema leo hii.
Msafara huo uliokuwa ukielekea wilayani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini, ambapo gari walilokuwa wamepanda wasaidizi wa Makongoro ndilo lililopata ajali kwa kupinduka wakati likiwa kwenye mwendo.
Watu waliokuwepo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-909DSnCrulk/VXLVBK8mhLI/AAAAAAAHcdI/pyKRlTv1h_E/s72-c/20150606040817.jpg)
BREAKING NYUZZZZ......: msafara wa makongoro nyerere wapata ajali mbaya mkoani kigoma
Msafara huo uliokuwa ukielekea wilayani humo kwa ajili ya kutafuta wadhamini, ambapo gari walilokuwa wamepanda wasaidizi wa Makongoro ndilo lililopata ajali kwa kupinduka wakati likiwa kwenye mwendo.
Watu waliokuwepo katika gari hilo lililopata ajali wameumia vibaya sana akiwemo Mwandishi wa habari, Cyprian Musiba na kukimbizwa...
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Msafara wa Makongoro Nyerere wapata ajali Kigoma
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bsue-*vlnnYDaJpK-gem98JcxdSepBmLOQrtW6E*KWcQ6D74eJHQFlfPaSiwYB1SskUndM5UzlMq3v8iHpc4qkInYA1wUFaN/attachment.jpg?width=650)
MSAFARA WA MAKONGORO NYERERE WAPATA AJALI KASULU - KIGOMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
GLOBAL NEWS: AJALI MBAYA YA BASI LA SUMRY ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA MKOANI SINGIDA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s72-c/IMG-20151218-WA0132.jpg)
NEWS ALERT: BASI LA KAMPUNI YA NEW FORCE LAPATA AJALI MBAYA MKOANI IRINGA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-EsajbnapHXU/VnQHVEi-rhI/AAAAAAAINQA/h7Ni-gkVMI8/s640/IMG-20151218-WA0132.jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa,Peter Kakamba amethibitisha watu 12 kupoteza maisha katika ajali hiyo. Wanane ni wanae na wanne ni wanawake. Abiria 28 wamejeruhiwa wakiwemo madereva wa basi la lori na hali zao siyo nzuri.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa nane alasiri ambapo basi la...
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Msafara wa RC Geita wapata ajali
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Geita, Seveline Kahitwa, amejeruhiwa vibaya na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, katika ajali iliyotokea juzi Kijiji cha Bugulula. Katika...
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WASHABIKI WA TIMU YA SIMBA WAPATA AJALI MKOANI MOROGORO LEO, NANE WAPOTEZA MAISHA
Hili ni pigo kubwa sana kwa Timu ya Simba, tutaendelea kupeana taarifa kadri zitakavyokuwa zikitufikia.
Globu ya Jamii inatoa pole wa Klabu ya Wekundu wa Msimbazi kuwa kuondokewa na washabiki wake hao, na Mungu aziweke Roho za...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wtqbwjzjcPE/VhC2lsO5YnI/AAAAAAABWdY/Xal8uymeNMQ/s72-c/ChristopherMtikila.jpg)
BREAKING NEWS: MCH. CHRISTOPHER MTIKILA AFARIKI KWA AJALI YA GARI MKOANI PWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-wtqbwjzjcPE/VhC2lsO5YnI/AAAAAAABWdY/Xal8uymeNMQ/s640/ChristopherMtikila.jpg)
ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAAARIFA ZAIDI
CHANZO: TBC TV
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gif)
MSAFARA WA MAALIM SEIF WAPATA AJALI