BRIAN TRACY nmzungumzaji maarufu ambae uzungumza na zaidi ya watu 250000 kila mwaka
BRIAN TRACY ni mzungumzaji maarufu ambae uzungumza na zaidi ya watu 250000 kila mwaka na kampuni yake ya BRIAN TRACY International imekuwa ikitoa mafunzo yanayohusaidia mtu, au kampuni kufikia malengo ya biashara yake kwa haraka zaidi.
Brian Tracy amefanya kazi na kampuni zaidi ya 1000 amezungumza na zaidi ya watu milioni 5 katika mikutano 5000 aliyofanya ndani ya Marekani, Canada na nchi 55 nyingine duniani. Leo hii alikuwa kwenye Powerbreakfast.
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi11 Jun
Live interview with Brian Tracy!
The highly anticipated High Performance Leadership seminar is almost here! Tune in to Choice In The Morning on Choice FM and Jahazi on Clouds FM tomorrow to hear Brian Tracy speak LIVE on air speaking about his seminar.
Witness the powerful transformation message by Brian Tracy and Azim Jamal live in Dar Es Salaam
High Performance Leadership seminar | 13th June 2014| Julius Nyerere International Convention Centre
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/303vNAywgxQuZLpZcOSXC2qbmc1yfiNhhA0jGbBN0r49Tc7kuJgOqZgZHicwtk2QDejJux5WUXN7oZI4Fu2f4Wx-yUt3PYUM5VnjTWvFoVJj-tmml3Isoi12s2Wg10ldTABaYluESouovyOeuAkiRw=s0-d-e1-ft#http://mikonofocus.img-us3.com/admin/full_page4_33cm_by_26cm_brian_azim_print-page-001.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBvheKKBXfM-uGeJyx*5rluJstG92w7*Rn7Usw*wRQRPBL3tBjsPTEce83OF-zggjvq1DoCmWLeaxhRRKL0GVi-2/tb.jpg?width=650)
KIFUA KIKUU: UGONJWA UNAOUA ZAIDI YA WATU MILIONI 1 DUNIANI KILA MWAKA
Mgonjwa wa kifua kikuu akipatiwa matibabu. KWA Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya Shirika la USAID ya mwaka 2007 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka hapa nchini Tanzania. Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) zinaonyesha kuwa Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiriwa sana na ugonjwa huu na kwa mujibu wa...
11 years ago
GPL07 May
11 years ago
Michuzi10 Mar
Witness Brian Tracy live in Dar Es Salaam this June
The High Performance Leadership seminar by international leadership experts Brian Tracy and Azim Jamal is coming your way this June. Book now for early bird discounts and avoid last minute disappointments. Limited seats available.
Call 0717 109 362 or 0784 636 169, or email info@mikono.biz
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/CFGsZvIMOywd_F5aZ_pvigTCD-4QhiioWXQYJcL_iRgOWPpX40vNueeMMviwQ8YB-LH_kYnkfimtbflfXvSQZjp8GUjr8BhaJrM5qd8TLAYgWNpnHzQ72IJS8Kg1zQ=s0-d-e1-ft#http://mikonofocus.img-us3.com/admin/advert-brian-tracy-azim-dephics.jpg)
11 years ago
Michuzi07 May
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-cHH79KVb2Z4/Uy9GKLqmidI/AAAAAAAFVzY/DCb2pW0WDbc/s72-c/unnamed+(99).jpg)
Witness Brian Tracy and Azima jamal live in Dar Es Salaam this June
The High Performance Leadership seminar by international leadership experts Brian Tracy and Azim Jamal is coming your way this June. Book now for early bird discounts and avoid last minute disappointments. Limited seats available. Call 0717 109 362 or 0784 636 169, or email info@mikono.biz
![](http://1.bp.blogspot.com/-cHH79KVb2Z4/Uy9GKLqmidI/AAAAAAAFVzY/DCb2pW0WDbc/s1600/unnamed+(99).jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Dengue yaua watu 25,000 kila mwaka
Na Selina Wilson
WATU 25,000 wanapoteza maisha kila mwaka kutokana na ugonjwa wa homa ya dengue ulioenea katika nchi 110 duniani, ikiwemo Tanzania.
Hayo yalisemwa jana mjini Dar es Salaam na Mtaalamu wa Udhibiti na Ufuatiliaji Magonjwa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Geofrey Mchawa, katika mafunzo ya siku moja ya waandishi wa habari za afya kuhusu ugonjwa wa dengue.
Alisema takwimu zinaonyesha kuwa watu 50 hadi 390 wanaambukizwa ugonjwa huo kila siku duniani na kwamba kwa hapa nchini,...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-Sx3VoK6o0LI/VS4SV6wZv8I/AAAAAAAACFE/M7h1GCxNr38/s72-c/page%2B12%2B-13%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Vijimambo19 Mar
WATOTO ZAIDI YA ELFU KUMI HUZALIWA NA SIKO SELI KILA MWAKA NCHINIâ€
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania