Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRIAN TRACY nmzungumzaji maarufu ambae uzungumza na zaidi ya watu 250000 kila mwaka

BRIAN TRACY ni mzungumzaji maarufu ambae uzungumza na zaidi ya watu 250000 kila mwaka na kampuni yake ya BRIAN TRACY International imekuwa ikitoa mafunzo yanayohusaidia mtu, au kampuni kufikia malengo ya biashara yake kwa haraka zaidi.Brian Tracy amefanya kazi na kampuni zaidi ya 1000 amezungumza na zaidi ya watu milioni 5 katika mikutano 5000 aliyofanya ndani ya Marekani, Canada na nchi 55 nyingine duniani. Leo hii alikuwa kwenye Powerbreakfast.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Live interview with Brian Tracy!

The highly anticipated High Performance Leadership seminar is almost here! Tune in to Choice In The Morning on Choice FM and Jahazi on Clouds FM tomorrow to hear Brian Tracy speak LIVE on air speaking about his seminar. Witness the powerful transformation message by Brian Tracy and Azim Jamal live in Dar Es Salaam High Performance Leadership seminar | 13th June 2014| Julius Nyerere International Convention Centre

 

10 years ago

GPL

KIFUA KIKUU: UGONJWA UNAOUA ZAIDI YA WATU MILIONI 1 DUNIANI KILA MWAKA

Mgonjwa wa kifua kikuu akipatiwa matibabu. KWA Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya Shirika la USAID ya mwaka 2007 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka hapa nchini Tanzania. Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) zinaonyesha kuwa Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiriwa sana na ugonjwa huu na kwa mujibu wa...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

Michuzi

Witness Brian Tracy live in Dar Es Salaam this June

The High Performance Leadership seminar by international leadership experts Brian Tracy and Azim Jamal is coming your way this June. Book now for early bird discounts and avoid last minute disappointments. Limited seats available. Call 0717 109 362 or 0784 636 169, or email info@mikono.biz

 

11 years ago

Michuzi

Witness Brian Tracy and Azima jamal live in Dar Es Salaam this June

The High Performance Leadership seminar by international leadership experts Brian Tracy and Azim Jamal is coming your way this June. Book now for early bird discounts and avoid last minute disappointments. Limited seats available. Call 0717 109 362 or 0784 636 169, or email info@mikono.biz

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Dengue yaua watu 25,000 kila mwaka


Na Selina Wilson
WATU 25,000 wanapoteza maisha kila mwaka kutokana na ugonjwa wa homa ya dengue ulioenea katika nchi 110 duniani, ikiwemo Tanzania.
Hayo yalisemwa jana mjini Dar es Salaam na Mtaalamu wa Udhibiti na Ufuatiliaji Magonjwa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Geofrey Mchawa, katika mafunzo ya siku moja ya waandishi wa habari za afya kuhusu ugonjwa wa dengue.
Alisema takwimu zinaonyesha kuwa watu 50 hadi 390 wanaambukizwa ugonjwa huo kila siku duniani na kwamba kwa hapa nchini,...

 

10 years ago

Vijimambo

WATOTO ZAIDI YA ELFU KUMI HUZALIWA NA SIKO SELI KILA MWAKA NCHINI‏

Mratibu wa Mradi wa MDOTS unoafanya utafiti wa tiba ya ugonjwa wa siko seli (Sickle Cell) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dkt. Robert Mongi (kulia) akifafanua jambo kwa baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania waliofika hospitalini hapo kukabidhi msaada wa simu 150 aina ya ZTE zitakazotumiwa na wagonjwa wa siko seli kujirekodi na kutuma video wakati wakimeza dawa za ugonjwa huo na kuzituma katika hospitali hiyo kila watumiapo dawa hizo kwa ajili ya kujua kama wanafuata matumizi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani