Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge laibana TFF

SERIKALI imetakiwa kuibana Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) iweke utaratibu wa sharti la lazima kulitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutumia mfumo wa tiketi za kielektroniki ikiwa ni jitihada za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bunge laibana Wizara ya Ardhi

BAADA ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali kutoa makucha yake na kuibana Serikali ilipe madeni ya hifadhi za jamii yanayofikia Sh trilioni 8.4, na pia kufichua kasoro kadhaa katika hesabu za Serikali, kamati nyingine ya Bunge nayo imeibuka na kuibana Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi juu ya utata wa hati za viwanja.

 

10 years ago

Mwananchi

Baraza jipya la Wazee Chadema laibana Serikali

Baraza jipya la wazee la Chadema limeanza kazi kwa kuitaka Serikali kutangaza ratiba ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani