Bunge lapata wenyeviti wapya
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limepata wenyeviti wapya wawili wa Bunge watakaosaidia na Spika na Naibu Spika kuongoza vikao vya Bunge ambao ni Mbunge wa Viti Maalumu, Lediana Mng’ong’o (CCM) na Mbunge wa Viti Maalumu, Kidawa Hamis Saleh (CCM).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
SITTA ATANGAZA MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

10 years ago
Habarileo09 Jan
Wenyeviti wapya mitaa wataka mishahara
WENYEVITI wa serikali za mitaa na wajumbe wao katika Halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji wameapishwa jana kuanza kutumikia wananchi kulingana na nafasi zao.
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Bunge la Katiba lapata viongozi wa kamati
BUNGE Maalumu la Katiba jana lilipata wenyeviti na makamu wao kuongoza kamati 12 zilizoundwa kwa ajili ya kujadili rasimu ya pili ya Katiba. Kamati hizo ambazo zinajulikana kwa namba, ya...
11 years ago
BBCSwahili15 Jul
Bunge la Iraq lapata spika mpya
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
Bunge la Tanzania lapata spika mpya
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Wabunge kuchagua wenyeviti Kamati za Kudumu za Bunge
10 years ago
Michuzi07 Mar
Spika Makinda, Wenyeviti wa Bunge Watembelea Miradi ya NSSF Dar


10 years ago
Michuzi18 Feb
NEWS ALERT: RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27,WAPYA WAKIWEMO SHABANI KISU,PAUL MAKONDA,FREDRICK MWAKALEBELA
*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani.
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana...