Bunge linapochemka ndio raha yetu- Lissu
Bunge la 10, ambalo linamaliza kazi yake Julai 8 kabla ya kuvunjwa siku moja baadaye, lilikuwa na mengi, lakini mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu anasema kilichowafurahisha wapinzani ni wakati chombo hicho kinapochemka kutokana na hoja zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies02 Feb
Suzy: Raha ya Mwanaume Adeke,Akivaa Kanzu Ndio Ananimaliza!!!
Mwigizaji wa filamu za hapa Bongo, Happy Nyatawe ‘Suzy’ amesema katika suala la uhusiano siku zote anampenda mwanaume anayejua kudeka.
Akizungumza na mwanahabari wa GPL, Suzy alisema mwanaume anayejua kujidekeza ndiye mzuri lakini ambaye anajidai ni mgumu na kuleta masharti yeye siyo fani yake kabisa.
“Mwanaume mwenye masharti kama ugonjwa wa kisukari simtaki, mwanaume anayedeka ndiyo mpango mzima, halafu anayependa kuvaa kanzu hapo ndiyo atanimaliza kabisa,” alisema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yV0ZOuW6Mqo/XtqC9UgzdAI/AAAAAAALsxU/X7XrPxeE-fgwpwLLErlbNeHGSIjXA0IcwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-4.jpg)
Ubora wa Mazingira yetu ndio Uhai na Ustawi Wetu – Zungu
![](https://1.bp.blogspot.com/-yV0ZOuW6Mqo/XtqC9UgzdAI/AAAAAAALsxU/X7XrPxeE-fgwpwLLErlbNeHGSIjXA0IcwCLcBGAsYHQ/s640/2-4.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Azzan Zungu akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Wakaguzi wa Mazingira katika Siku ya Mazingira Duniani leo tarehe 05 Juni 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/928dc05a-6894-4a15-949b-e0aa103b461d.jpg)
9 years ago
Bongo512 Oct
Kufanya kazi nzuri ndio siri ya mafanikio yetu — Navy Kenzo
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Tundu Lissu atikisa Bunge
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Lissu: Wajumbe wa Bunge la Katiba hawana sifa
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioteuliwa hivi karibuni wengi wao hawana sifa ya kuingia katika bunge hilo. Akizungumza na Tanzania Daima kwa...
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Lissu:Kuburuzwa ndani ya Bunge sasa basi
10 years ago
Mwananchi03 Apr
Lissu funga kazi , Bunge laweka rekodi mpya