Buzwagi kusitisha uchimbaji wa dhahabu
KAMPUNI ya Acacia inayomiliki mgodi wa dhahabu wa Buzwagi mkoani Shinyanga, imesema ndani ya miaka miwili, itasitisha shughuli za uchimbaji na uzalishaji madini hayo, kutokana na soko kuzidi kushuka.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboSIKU YA FAMILIA DAY YAFANA ,MGODI WA DHAHABU WA BUZWAGI GOLD MINE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hFVJpaTEVUo/VO2hV-CPUoI/AAAAAAAHFzw/2S2b-l-j-Ck/s72-c/New%2BPicture.png)
MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFVJpaTEVUo/VO2hV-CPUoI/AAAAAAAHFzw/2S2b-l-j-Ck/s1600/New%2BPicture.png)
TANGAZO.
MIGODI YA DHAHABU YA GEITA, BULYANHULU, BUZWAGI NA NORTH MARA KUANZA KULIPA USHURU WA HUDUMA KWA KIWANGO CHA 0.3% YA MAPATO GHAFI KWA HALMASHAURI ZA WILAYA NA MIJI.
Wizara ya Nishati na Madini inapenda kutangazia umma kuwa mgodi wa dhahabu wa Geita unaomilikiwa na kampuni ya AngloGold Ashanti; na migodi ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara inayomilikiwa na kampuni ya Acacia Mining, imeanza kulipa ushuru wa huduma kwa kiwango...
10 years ago
Dewji Blog02 Sep
Kampuni ya Shanta ya uchimbaji wa dhahabu yakabidhi hundi ya milioni 41.5 kwa kikundi cha Aminika Gold Mine cha Sambaru
Meneja mkuu wa shanta akizungumza kwenye mkutano wa makabidhiano ya hundi hiyo jana.
Na Hillary Shoo, IKUNGI
KAMPUNI ya uchimbaji wa Madini ya dhahabu ya Shanta mining Limited iliyopo katika kijiji cha Sambaru Kata ya Mang’onyi Wilayani Ikungi, imekabidhi hundi yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 4.23 kwa kikundi cha Aminika .
Msaada huo umekabidhiwa kwa bodi ya Wakurugenzi wa kikundi hicho cha Aminika jana na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Shanta, Zone Swanepoel katika kijiji cha...
11 years ago
Dewji Blog17 May
Shanta yatoa leseni, Mtaji, huku Tan Discovery yakabidhi vifaa kwa kikundi cha uchimbaji wa Dhahabu cha Aminika Singida
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Manju Msambya akizungumza na wananchi wa kijiji cha Sambaru kwenye hafla hiyo ya makabidhiano ya leseni tatu.
Na Hillary Shoo,
KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Shanta Mining Ltd, imetoa leseni tatu na mtaji wa shilingi milioni 40 kwa kikundi cha wachimbaji wadogo cha Aminika cha kijiji cha Mang’onyi Wilayani Ikungi Mkoani Singida.
Kikundi hicho Aminika Gold Mine Co- Operative Society Ltd Mang’onyi kimekabidhiwa leseni hizo jana na Naibu...
10 years ago
Mtanzania24 Apr
Mgodi wa Buzwagi kufungwa
Na Fredrick Katulanda, Mwanza
MAKAMU wa Rais wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia, Deo Mwanyika, amesema mgodi wa dhahabu wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga utafungwa kutokana na uzalishaji kushuka.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwanyika alisema mashapo ya dhahabu ya mgodi wa Buzwagi yana uwezo wa kutoa Ounce 900,000 ya dhahabu yenye ubora wa gramu 1.35 kwa tani hivyo kudumu kwa kipindi cha miaka mitano.
Alisema kutoka na hali hiyo, uongozi wa Kampuni ya...
11 years ago
Habarileo11 May
Buzwagi kufungwa miaka 2 ijayo?
MGODI wa dhahabu wa Buzwagi uliopo Kahama mkoani Shinyanga, huenda ukafungwa ndani ya miaka miwili ijayo ili kuiepushia hasara kampuni inayochimba dhababu katika eneo hilo, African Barrick Gold.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u2Re5-fC1AI/VhiYjHPUWuI/AAAAAAAAVVw/cSfkZRZSBQI/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
BUZWAGI YAWAZAWADIA WAFANYAKAZI BORA WA MWAKA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-u2Re5-fC1AI/VhiYjHPUWuI/AAAAAAAAVVw/cSfkZRZSBQI/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-b5uLVTyw3Jw/VhiY1uv_nmI/AAAAAAAAVYg/A11UF5I_anA/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y6SApilAnvg/Vd1uowHRHII/AAAAAAAAUU4/GX6WAkR_mbU/s72-c/unnamed.jpg)
MGODI WA BUZWAGI WAZINDUA LIGI YA MAHUSIANO-KAHAMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y6SApilAnvg/Vd1uowHRHII/AAAAAAAAUU4/GX6WAkR_mbU/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nzBtT76HSSE/Vd1ugw45l-I/AAAAAAAAUT0/x5viSAzdroY/s640/2.jpg)
10 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira yaumwagia sifa Mgodi wa Buzwagi
Rai hiyo imetolewa na mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira Mheshimiwa James Lembeli, wakati kamati hiyo ilipotembelea mgodi huo tarehe 30 Oktoba 2014 .
Mhe.Lembeli alisema kuwa kamati yake ilifuatilia kwa kina utekelezaji wa maagizo na maelekezo ya Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) kwa migodi...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10