Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Calderon:Ramos angependa kujiunga na Man U

Beki wa Real Madrid Sergio Ramos ataihama kilabu yake ili kujiunga na Manchester United kulingana na aliyekuwa rais wa Real Madrid Ramon Calderon.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Man U yamwinda Schweinsteiger na Ramos

Klabu ya Manchester United ina hamu ya kumsajili kiungo wa kati wa Bayern Bastian Schweinsteiger na mlinzi wa Real Madrid Sergio Ramos.

 

10 years ago

BBCSwahili

Di Maria ajuta kujiunga na Man United

Kiungo wa kati wa Manchester United Angel Di Maria amesema kuwa alifanya makosa kujiunga na Kilabu ya Manchester United

 

10 years ago

BBCSwahili

Calderon:Mourinho hakuweza presha Madrid

Jose Mourinho hakuweza kuhimili presha kama mkufunzi wa Real Madrid ,aliyekuwa rais wa kilabu hiyo Ramon Calderon amesema.

 

9 years ago

MillardAyo

David Silva kaweka wazi wanachofikiria wachezaji wenzake kuhusu tetesi za Pep Guardiola kujiunga Man City …

Licha ya kuhusishwa kujiunga na kikosi cha Manchester United kocha wa FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola kwa asilimia kubwa anapewa nafasi ya kujiunga na kikosi cha Manchester City, kwani mambo yanatajwa kuwa katika mipango ya mwisho kukamilika. Najua headlines za Pep Guardiola kujiunga na Man City umeshazisikia sana japokuwa hazijathibitishwa rasmi Guardiola atajiunga na klabu […]

The post David Silva kaweka wazi wanachofikiria wachezaji wenzake kuhusu tetesi za Pep Guardiola...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ramos kunyakuliwa na Machester United?

Timu ya Manchester inawania kumsajili Sergio Ramos ambaye anataka kuondoka Real Madrid baada ya kushindwa kuongezewa mshahara.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ramos asaini mkataba mpya

Beki wa klabu ya soka ya Real Madrid Sergio Ramos, amesaini mkataba mpya na timu yake

 

9 years ago

Michuzi

MAKONDA AWAHIMIZA WASANII KUJIUNGA NA BIMA YA AFYA: Awataka kutumia taaluma yao kuhamasisha wengine kujiunga

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema wakati sasa umefika kwa wasanii kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, badala ya kuendelea kuchangishana fedha za matibabu kila wanapougua.
Amesema kutokana na kupanda kwa gharama za maisha hivi sasa zikiwemo za matibabu, wasaani wana kila sababu ya kuona umuhimu wa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili wanapougua watibiwe kwa kutumia kadi badala ya kuhangaika kutafuta fedha taslimu.
Makonda alikuwa akizungumza wakati wa ufunguzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid:Sergio Ramos haondoki

Mchezaji Sergio Ramos anayelengwa na Manchester United msimu huu hataondoka Real Madrid kulingana na mkufunzi Rafael Benitez.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani