Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man U yamwinda Schweinsteiger na Ramos

Klabu ya Manchester United ina hamu ya kumsajili kiungo wa kati wa Bayern Bastian Schweinsteiger na mlinzi wa Real Madrid Sergio Ramos.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Calderon:Ramos angependa kujiunga na Man U

Beki wa Real Madrid Sergio Ramos ataihama kilabu yake ili kujiunga na Manchester United kulingana na aliyekuwa rais wa Real Madrid Ramon Calderon.

 

10 years ago

BBCSwahili

Man United imesajili Bastian Schweinsteiger

Manchester United imekubaliana na Bayern Munich kumsajili kiungo cha kati wa Ujerumani Bastian Schweinsteiger

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yamwinda Benteke

Klabu ya Liverpool nchini Uingereza imetoa kitita cha pauni milioni 32.5 kwa Aston Villa kwa lengo la kumsajili mshambuliaji wa Ubelgiji Christian Benteke.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yamwinda Theo Walcot

Kilabu ya Chelsea inaiangazia kwa karibu hali ya kandarasi ya mchezaji wa Chelsea Theo Walcot katika kilabu ya Arsenal

 

10 years ago

BBCSwahili

Ramos asaini mkataba mpya

Beki wa klabu ya soka ya Real Madrid Sergio Ramos, amesaini mkataba mpya na timu yake

 

10 years ago

BBCSwahili

Ramos kunyakuliwa na Machester United?

Timu ya Manchester inawania kumsajili Sergio Ramos ambaye anataka kuondoka Real Madrid baada ya kushindwa kuongezewa mshahara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid:Sergio Ramos haondoki

Mchezaji Sergio Ramos anayelengwa na Manchester United msimu huu hataondoka Real Madrid kulingana na mkufunzi Rafael Benitez.

 

9 years ago

BBCSwahili

Schweinsteiger kufungiwa Mechi 3.

Kiungo wa Manchester United Bastian Schweinsteiger yupo hatarini kufungiwa Mechi 3 za ligi kuu ya England kwa kosa la Kinidhamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani