Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM, Chadema kupimana nguvu tena Jumapili

>Uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata 27 utakaofanyika maeneo kadhaa nchini, unatajwa kuwa kipimo cha kisiasa kwa vyama viwili hasimu – CCM na Chadema. Vyama hivi kwa muda sasa vimekuwa katika mivutano ya ndani kwa ndani inayoonekana kutishia uhai wa kila kimoja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal kupimana nguvu tena na Bayern

Difenda wa Arsenal Per Mertesacker amesema Bayern Munich itataka sana kuonyesha kwamba ndiyo bora zaidi klabu hizo mbili zitakapokutana tena leo.

 

10 years ago

Mtanzania

Chadema, Polisi kupimana nguvu leo

Dk. Wilbrod Slaa

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa

NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewahamasisha wanachama wake walio jijini Dar es Salaam na mikoa ya jirani kufurika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam wakati mwenyekiti wao Freeman Mbowe atakapohojiwa, huku jeshi hilo likionya raia yeyote kutosogelea eneo hilo.

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya chama hicho Kinondoni jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu, Dk....

 

11 years ago

Mwananchi

SIASA: Chadema: Hatuchukui tena makapi ya CCM

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakitasubiri wanachama watakaoachwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uteuzi wa wagombea katika uchaguzi mkuu ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Sarakikya: CCM isipojirekebisha itashindwa tena na Chadema

>“Ingawa haikuhitajika ushahidi wa kimahakama, mchakato wa uteuzi wa mgombea wa CCM katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Arumeru Mashariki mwaka 2012, uligubikwa na tuhuma za rushwa na ukiukwaji wa makusudi wa kanuni za chama kwa lengo la kuwabeba baadhi ya wagombea.”

 

10 years ago

Michuzi

Jumapili hii njoo ushuhudie mchuano wa nguvu wa ma-DJ wakali club bilicanas

Jumapili hii njoo ushuhudie mchuano wa nguvu kutoka kwa ma Dj wakali wa bongo watakaochuana pale juu ni @djzeroxxl @chokadj na @djvasley hii ni ndani ya @bilznightclub pekee! Unakosaje kushududia ni Dj gani atapagawisha zaidi? Airtel watatoa zawadi kibao 🎁🎁🎁Kiingilo ni buku 10 tu TAG kuwajulisha washkaji 👍 FOLLOW: @airtel_tanzania

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kijiji cha Wangama, Fred Mgata (kulia) akikabidhi kadi za chyama hicho kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga baada ya yeye na wanachama wengine 50 wa Chadema kuamua kukihama na kujiunga CCM katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika  katika Kijiji hicho kilichopo Kata ya Luhota, Iringa Vijijini leo. Mgombea ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia Chadema ambaye ni mzaliwa wa kijiji hicho,  Grace Tendega alikuwa chini ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk Magufuli atoa mpya tena afanya mazoezi ya nguvu jukwaani Makambako

  Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akifanya mazoezi jukwaani akijiandaa kujinadi kwa wananchi katika Mji wa  Makambako, mkoani Njombe leo,  jambo ambalo lilizua vifijo, nderemo na vigelegele kutoka kwa wananchi waliofurika kwenye mkutano huo wa kampeni.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa wananchi  kwa kuwaomba ifikapo Oktoba 25, mwaka huu wakati wa Uchaguzi Mkuu, waende...

 

10 years ago

Vijimambo

SKYLIGHT BAND WAENDELEA KUTOA BURUDANI YA NGUVU JIJI DAR, NI IJUMAA HII TENA

Binti mwenye sauti ya kumtoa Nyoka pangoni, Ashura Kitenge akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar es Salaam Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti na Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba AK47 pamoja na Kisura mwingine wa Skylight Band anayefamika kwa jina la Baby. Tukutane baadae tupunguze stress za wiki nzima kwa burudani iliyoenda shule na sehemu ya watu wastaarabu kama kawaida na mtonyo wetu ule ule getini.Msanii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani