Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘CCM deputy chairman Phillip Mangula was poisoned,’ says police

‘CCM deputy chairman Phillip Mangula was poisoned,’ says police  The Citizen Daily

The Citizen Daily

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Daily News

Singida council gets new deputy chairman


Singida council gets new deputy chairman
Daily News
SINGIDA District Council councillors have elected Mr Eliya Digha as the council's Deputy Chairman. Digha takes over from Saidi Mumbee whose term of office has ended. The new Deputy Chairman who comes from Msange ward collected 28 votes to earn ...

 

10 years ago

IPPmedia

TCF Deputy Chairman, Hebron Mwakagenda


IPPmedia
TCF Deputy Chairman, Hebron Mwakagenda
IPPmedia
The Tanzania Constitution Forum (TCF) has called upon the government to suspend the referendum on the proposed Constitution so as to give the public ample time to study the document and allow the National Electoral Commission (NEC) to focus on ...
Call for mass dtribution of recommended Katiba copiesDaily News

all 2

 

9 years ago

IPPmedia

Deputy Inspector General of Police (DIGP) Abdulrahmani Kaniki


IPPmedia
Deputy Inspector General of Police (DIGP) Abdulrahmani Kaniki
IPPmedia
More Tanzania Revenue Authority (TRA) officials and their accomplices from the private sector implicated in the 'missing containers' saga will be arrested and prosecuted in an 'ongoing' exercise to bring sanity to the tax office. Speaking to 'The ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kamati Kuu CCM yamteua Mangula kuongoza kamati maalum kuandaa ilani ya CCM uchaguzi wa Serikali za Mitaa

2

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Sekretarieti, Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba, ambapo aliwaeleza kuwa Kamati Kuu imemteua  Ndugu Philipo Mangula kuongoza Timu ya Kamati Maalum ya CCM itakayoandaa Ilani ya CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa  pia Kamati Kuu imemteua Ndugu Adam Kimbisa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Uhuru Media tarehe 16 Julai 2014.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 

10 years ago

Habarileo

Mangula akerwa na makundi CCM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philip Mangula (kushoto), akihutubia katika mkutano wa wajumbe wa Halmshauri kuu ya CCMWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wametakiwa kuvunja makundi, yanayowagawa ili kukinusuru chama hicho kiweze kujipanga vyema katika kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Mtanzania

Mangula awashukia wasaliti CCM

MangulaNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM (Bara), Philip Mangula amesema chama hicho kamwe hakitawafumbia macho viongozi wasaliti wasiokitakia mema chama hicho.
Amesema wanachama wake, wanatakiwa kuwafichua viongozi wa aina hiyo ili kukinusuru kisipoteze nafasi za majimbo na udiwani katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.
“Endapo mwanachama au kiongozi, akibainika kufanya hujuma dhidi ya chama, atachukuliwa hatua kali ikiwemo ya kufukuzwa uanachama, CCM haina...

 

10 years ago

Habarileo

Mangula ‘asaka’ wasaliti CCM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philip Mangula (kushoto), akihutubia katika mkutano wa wajumbe wa Halmshauri kuu ya CCMMAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula amemaliza ziara yake katika majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam, na kuagiza kila mwanachama awe mlinzi wa mwenzake, amchunguze ili kuepuka wasaliti.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mangula ampeleka jela kigogo CCM

ZIARA ya Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, Philip Mangula mkoani Kigoma, imemponza Katibu Mwenezi wa chama hicho Wilaya ya Uvinza mkoani hapa, Majaliwa Zuberi na kujikuta akitupwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani