Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Singida council gets new deputy chairman


Singida council gets new deputy chairman
Daily News
SINGIDA District Council councillors have elected Mr Eliya Digha as the council's Deputy Chairman. Digha takes over from Saidi Mumbee whose term of office has ended. The new Deputy Chairman who comes from Msange ward collected 28 votes to earn ...

Daily News

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

IPPmedia

TCF Deputy Chairman, Hebron Mwakagenda


IPPmedia
TCF Deputy Chairman, Hebron Mwakagenda
IPPmedia
The Tanzania Constitution Forum (TCF) has called upon the government to suspend the referendum on the proposed Constitution so as to give the public ample time to study the document and allow the National Electoral Commission (NEC) to focus on ...
Call for mass dtribution of recommended Katiba copiesDaily News

all 2

 

5 years ago

The Citizen Daily

‘CCM deputy chairman Phillip Mangula was poisoned,’ says police

‘CCM deputy chairman Phillip Mangula was poisoned,’ says police  The Citizen Daily

 

10 years ago

IPPmedia

CCM disciplines Kyela council chairman


CCM disciplines Kyela council chairman
IPPmedia
The ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) has taken a district council chairman to task over organizing the youth into causing violence last month in what appears to be the party's ongoing publicity campaign to keep its leadership in order. CCM Chairman for ...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kinana amaliza ziara yake Mkoani Singida kwa kuzuru Singida Vijijini

1. Mbunge wa Singida Mashariki Lazaro Nyalandu akimlaki Kinana wakati wa mapokezi katika kata ya Msisi, Singida Vijijini,  en

Mbunge wa Singida Mashariki Lazaro Nyalandu akimlaki Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wakati wa mapokezi ya kiongozi huyo wa Chama,  katika kata ya Msisi, Singida Vijijini, jana Mei 26, 2014.

2. Kinana akivishwa mgolole  Kijiji cha Msisi kabla ya kufungua Ofisi ya CCM ya Jumuia ya Wazazi katika Kata hiyo, Singida Vijijini

Wanachama wa Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi wakimvalisha mgolole Kianana kabla ya kufungua tawi la Wazazi la Kata hiyo.

3. Kinana akifungua Ofisi ya CCM ya Jumuia ya Wazazi katika Kata ya Msisi, Singida Vijijini

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizindua tawi la Jumuia ya Wazazi Kata ya Msisi, wilaya ya Singiga Vijijini.

4. Kinana na Nyalandu wakishiriki kuvuna mtama shamba la mfano la mtama Kata ya  Mtinko

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akishiriki kuvuna...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mjasiriamali maarufu Singida, Juma Kidabu, akuchukua fomu kugombea jimbo la Singida mjini

DSC00484

Mjasiriamali maarufu manispaa ya Singida, Juma Ahmed Kidabu, almaarufu kwa jina la Juma Alhaj, akikabidhiwa na Katibu wa CCM jimbo la Singida mjini, Margeth Ndwete, fomu za ubunge katika jimbo hilo.Wana CCM wapatao nane jana wameanza harakati za kusaka kura za maoni.(Picha na Nathaniel Limu).

 

9 years ago

Dewji Blog

Magufuli aendelea na kampeni zake mkoani Singida, leo kuunguruma Singida mjini LIVE

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiombewa Dua na mmoja wa kiongozi wa dini mara baada ya kusimamishwa na Wananchi wa kijiji cha Puma (hawapo pichani), alipokuwa akielekea mkoani Singida mara baada ya kumaliza mkutano wake wa hadhara wa kampeni.
PICHA NA MICHUZI JR-SINGIDA.  Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimshukuru kiongozi huyo wa dini kwa kujitolea kumuombea Dua ya heri na afya njema katika nafasi yake ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AENDELEA NA KAMPENI ZAKE MKOANI SINGIDA,KESHO KUUNGURUMA SINGIDA MJINI LIVE

 Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiombewa Dua na mmoja wa kiongozi wa dini mara baada ya kusimamishwa na Wananchi wa kijiji cha Puma (hawapo pichani),alipokuwa akielekea mkoani Singida mara baada ya kumaliza mkutano wake wa hadhara wa kampeni Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akimshukuru kiongozi huyo wa dini kwa kujitolea kumuombea Dua ya heri na afya njema katika nafasi yake ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Mlata ashiriki zoezi la usafi Manispaa ya Singida

IMG_1128

Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Martha Mosses Mlata, akishiriki kutekeleza agizo ya rais Dk. John Pombe Magufuli la Watanzania wote kufanya usafi katika maeneo yao, kama sehemu ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru kutimiza miaka 54, kwa kufanya usafi kwenye chuo cha wasioona cha mjini hapa. Pamoja na kufanya usafi chuoni hapo, Mlata alitoa msaada wa vifaa mbalimbali ikiwemo viti vya plastiki 150.Thamani ya msaada huo, ni zaidi ya shilingi 6.3  milioni. IMG_1124 IMG_1132 IMG_1142 Mbunge wa viti maalum...

 

10 years ago

Dewji Blog

SEMA Singida kutumia Milioni 80 kuwapiga msasa waratibu wa elimu mikoa ya Singida na Dodoma

DSC04523

Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za maji, elimu na usafi wa mazingira shuleni yaliyohudhuriwa na waratibu kata na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida. Kulia ni Meneja wa SEMA, Ivo  Manyanku na Kushoto ni mwenyekiti wa mafunzo hayo.

DSC04526

Baadhi ya waratibu na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida,waliohudhuria  mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani