Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM iruhusu wagombea wajitangaze rasmi

Inashangaza kwamba kufikia leo hii, CCM bado inawazuia wanachama wake kutangaza kugombea urais.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali iruhusu sekondari rasmi za jioni, usiku

Kwa mujibu wa mfumo uliopo, elimu ya sekondari inapaswa kutolewa kwa muda wa miaka minne

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM yatangaza rasmi uteuzi wa wagombea wa Majimbo 11yaliyokuwa yamebaki

napeeKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo mchana,katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam kuhusiana na uteuzi wa wagombea Ubunge wa majimbo 11 nchini yaliyokuwa yamebakia

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa leo Agosti 17, 2015 katika
kikao chake cha siku moja kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Hawa Ghasia awataka LAPF wajitangaze

>Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia ameutaka mfuko wa pensheni wa LAPF kutangaza fao la mkopo wa nyumba walitoalo ili wananchi wajiunge na kunufaika.

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Habarileo

Wataka sheria iruhusu wazazi wachapwe

BAADHI ya wazazi wa kata ya Lusaka wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wametaka sheria ndogo itakayowapatia uwezo wa kisheria walimu wa shule za msingi na sekondari kuwapiga viboko baadhi ya wazazi wanaokataa kugharamia mahitaji ya watoto wao shuleni ikiwemo kutolipa ada za shule.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TABOA: Serikali iruhusu huduma saa 24

CHAMA cha Wasafirishaji Abiria mikoani na nchi jirani (TABOA), kimeshauri serikali kuruhusu mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kusafirisha abiria saa 24. Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Mohammed Abdullah, alieleza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani