Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM revels in Kalenga victory as Mgimwa succeeds late father

 The ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) officials were yesterday regaling in the defeat of the opposition in the Kalenga by-election, announcing the victory would give them the impetus for the Chalinze contest next month.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MTOTO WA MGIMWA ASHINDA KURA ZA MAONI CCM, KUGOMBEA JIMBO LA KALENGA

Mtoto wa marehemu Dk. Mgimwa, Godfrey Mgimwa atakayegombea Jimbo la Kalenga CCM. MATOKEO ya  kura  za maoni  ndani ya  CCM yametangazwa usiku wa kuamkia leo huku mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa  Jimbo hilo, Godfrey Mgimwa akishinda kwa  kishindo  katika  nafasi hiyo, akifuatiwa na Jackson Kiswaga katika matokeo hayo. Godfrey Mgimwa amepata  kura 342 huku Kiswaga akipata kura 170 na Mkuu wa Wilaya ya...

 

11 years ago

Michuzi

CCM YATEUA MGOMBEA WAKE UCHGAUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA, NI GODFREY WILLIAM MGIMWA

Kamati Kuu ya CCM, chini ya Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete, imempitisha Godfrey William Mgimwa kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM, katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, utakaofanyika Machi 16, mwaka huu.
   Akizungumza na waandfishi wa habari leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Katribu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, Kamati Kuu ya CCM  imemridhia Godfrey kupeperusha bendera ya CCM baada ya kukidhi vigezo licha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa UKAWA Lyamgungwe wadai kuvutiwa na utendaji wa Mbunge Mgimwa Kalenga wajiunga CCM

IMG_3649

Mbunge  wa  jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa kulia akipokea kadi ya Chadema  kutoka kwa mmoja kati ya  viongozi wa Chadema   kata ya Lyamgungwe  aliyehamia CCM.

Na MatukiodaimaBlog

VIONGOZI  watatu  wa vyama  vinavyounda katiba ya  wananchi (UKAWA) kata ya Lyamgungwe  jimbo la kalenga  wamempongeza mbunge wa  jimbo la hilo Godfrey Mgimwa   kwa  kutekeleza ahadi  mbali mbali  zilizoachwa na marehemu mbunge aliyepita Dr  Wiliam Mgimwa kwa  muda mfupi na kuwa katika  kuonyesha  umoja  wao...

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI WA UKAWA LYAMGUNGWE WADAI KUVUTIWA NA UTENDAJI WA MBUNGE MGIMWA KALENGA WAJIUNGA CCM‏

Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa kulia akipokea kadi ya Chadema kutoka kwa mmoja kati ya viongozi wa Chadema kata ya Lyamgungwe aliyehamia CCM . Mbunge Mgimwa  akikagua miradi ya maendeleo  jimboni kwake. Wananchi  wa Lyamgungwe  wakiwa  wameongozana na mbunge wake  kwenda kutembelea  miradi ya maendeleo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani