Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yahimizwa kuvunja makundi ndani ya chama

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma kimewataka wanachama wake kuvunja makundi na kuweka wazi kuwa makundi ndani ya chama yanatishia uhai wa chama kuliko vyama vya siasa vya upinzani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kingunge amdhamini Lowassa, asema mgombea urais wa CCM lazima akubalike na makundi yote, ndani na nje ya chama

Lowassa_Ilala

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungian wananchi wakati akiwasili ofisi za CCM kata ya Mchikichini, Ilala jijini Dar es Salaam, kutafuta wadhamini. (Picha na K-VIS MEDIA).

Kingunge udhamini

Mwanasiasa mkongwe nchini Kingunge Ngombali Mwiru, (kushoto), akijaza fomu za kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, kwenye ofisi za CCM wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Juni 27, 2015, wakati Mh. Lowassa, alipotua jijini Dar es Salaam...

 

5 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA CCM WATAKIWA KUVUNJA MAKUNDI

Na Woinde Shizza, Arusha 
Wanachama Wa chama cha mapinduzi  nchini wametakiwa kuondoa tofauti zao na kivunja makundi haswa katika kipindi hichi wanapoelekea katika uchaguzi Mkuu ili kukiwezesha chama hicho kupita kwa kishindo.
Hayo yamebainishwa na mjumbe wa kamati kuu CCM  Taifa ambaye pia ni Mwenyekiti Wa jumuiya ya wazazi   Edmund Mndolwa alipokuwa akiongea na viongozi Wa chama hicho mkoani Arusha Jana (Leo)kabla ya kuanza ziara ya siku tano ya kutembelea miradi mbalimbali  inayotekelezwa...

 

10 years ago

Habarileo

Wassira ajitosa kuvunja makundi CCM Arusha

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu ), Stephen Wasira amesema yupo tayari kuvunja makundi ya kudumu, yanayoonekana kuwapo baina ya Mbunge wa zamani wa Jimbo Arusha Mjini kupitia CCM, Felix Mrema na Batilda Burian, aliyewahi kuwania ubunge katika jimbo hilo, lakini hakufanikiwa.

 

5 years ago

Michuzi

WANAOKAIDI KUVUNJA MAKUNDI CCM ARUSHA KUKIONA

Na Woinde Shizza, Arusha

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Zelote Stephen amewatumia salaam za onyo kali baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama hicho mkoani Arusha ambao bado wameendelea kukaidi agizo lake alilolitoa mara tu baada ya kuchaguliwa kwenye nafasi hiyo la kuvunja makundi ndani ya saa 48.

Zelothe ametuma salam hiz0 wakati akifungua mkutano wa halmashauri kuu ya Chama cha mapinduzi wilaya ya Ngorongoro na kusema kuwa licha ya kuwa maelekezo yake yametekelezwa kwa asilimia kubwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

NAPE: Hakuna mgombea atakayepitishwa CCM kwa presha za makundi, ni kwa kukidhi vigezo vya kanuni na katiba za chama tu

NA BASHIR NKOROMO

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.

Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM mpigo ni uleule, nje na ndani ya chama

KUNA moja tu litaloweza kukinusuru Chama cha Mapinduzi (CCM) kisiporomoke katika Uchaguzi Mkuu uj

Ahmed Rajab

 

10 years ago

Michuzi

MWAMOTO awaomba waliokuwa wagombea ubunge na udiwani Kilolo kuvunja makundi

Mwamoto akionyesha fomu ya ubunge kulia kwake ni dada wa prof Peter Msolla Anna Msola na kutoka kulia ni msimamizi mkuu wa uchaguzi Rukia Mhango na Msaidizi wake 


Na MatukiodaimaBlog, Kilolo


Mgombea mteule ubunge ccm jimbo la Kilolo Venance Mwamoto ametangaza msahama kwa wajumbe wa kamati ya siasa na wagombea udiwani ambao walikuwa upande wa mbunge wa zamani Prof Peter Msolla huku akiwataka kupenda ili kuwezesha jimbo hilo kupiga hatua ya kimaendeleo  Mwamoto alisema kuwa hana kinyongo na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Makundi yanabomoa chama’

MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Sadifa Juma, amesema makundi kwenye chama si msaada na badala yake ni kukibomoa. Sadifa alisema hayo juzi mjini Kibaha,...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ZANZIBAR CHATOA TAMKO JUU YA KUJITOA KWENYE CHAMA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA.

unnamed (4)Katibu wa CCM Mkoa Mjini Mohammed Omar Nyawenga akitoa taarifa ya Chama hicho kwa Waandishi wa Habari kuhusu kujitoa ndani ya Chama Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa katika mkutano uliofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.unnamed (5)Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mjini Borafia Silima akitoa ufafanuzi katika mkutano uliohudhuriwa na wajumbe wa ngazi mbali mbali za Chama na waandishi wa Habari Afisi kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar.
unnamed (6)Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakifuatilia mkutano huo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani