Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM YASHUTUMU TUHUMA ZILIZOTOLEWA NA MCT

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Januari Makamba, akizungumza na wandishi wa habari katika ofisi ndogo makao mkuu Mtaa wa Lumumba jijini Dar. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Makamba. Wanahabari wakichukua…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

UN yashutumu mwanamke Mpakistan kuuliwa

Kamishna wa Umoja wa Mataifa anayesimamia Haki za Kibinadamu, Navi Pillay, ameshutumu mauaji ya mwanamke Mpakistani kwa mawe.

 

10 years ago

Habarileo

20 CCM washikiliwa kwa tuhuma za rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani Nkasi mkoani Rukwa, inawashikilia wanachama 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwemo diwani wa Viti Maalumu (CCM) aliyemaliza muda wake, wakituhumiwa kutoa na kupokea rushwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yashutumu kuvamiwa kwa ubalozi Iran

Umoja wa Mataifa umeshutumu vikali kushambuliwa kwa ubalozi wa Saudi Arabia nchini Iran na waandamanaji waliokasirishwa na kuuawa kwa mhubiri wa Kishia.

 

11 years ago

BBCSwahili

White House yashutumu silaha za Urusi

Ikulu ya White House imeeleza masikitiko, wapiganaji waasi wanaoungwa mkono na Urusi Mashariki mwa Ukraine kutumia silaha nzito.

 

9 years ago

StarTV

M/kiti wa CCM Majohe ajiuzulu baada ya tuhuma za rushwa

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kata ya Majohe, Gekura Gisiri, amejiuzulu baada ya mgombea wa udiwani kwenye kata hiyo, Hassan Kingalu aliyekuwa akilalamikiwa kutoa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni kutangazwa mshindi atakayegombea udiwani wa kata hiyo.

Pamoja na hatua hiyo ya kujiuzulu, wananchi wa eneo hilo nao wameonyesha kutokukubaliana na kupitishwa kwa mgombea huyo, kwa kudai kuwa hana sifa za kuwa kiongozi wao.

Mwenyekiti huyo wa CCM kata ya Majohe, Gekura Gisiri...

 

9 years ago

Mwananchi

Tisa washikiliwa kwa tuhuma za kushambulia msafara wa mgombea wa CCM

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia vijana tisa wanaotuhumiwa  kurusha mawe  kwenye msafara  wa mgombea ubunge wa jimbo la Moshi mjini kupitia CCM,  Davis Mosha alipokuwa akitoka kwenye mkutano wa kampeni eneo la Mbuyuni.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yashutumu ukiukaji wa viapo vya uaminifu kwa taifa

Assah MwambeneSERIKALI imesema madai ya baadhi ya vijana waliohitimu katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuruhusiwa kujiunga na vikundi vya majeshi ya nchi jirani yanayopigana ni kukosa uzalendo na uaminifu kwa taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani