Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chachu ya kutuliza maumivu yapatikana

Wanasayansi nchini Marekani wamefanikiwa kutengeneza chachu yenye vina saba vinavyoweza kupunguza maumivu kwa kiasi kikubw

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia

JESHI la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia zilizoibuka baina ya wakazi wa eneo la Bahari-Motors, Kijitonyama, wilayani Kinondoni jijini hapa. Ghasia hizo zilitokana na kuchukuliwa kwa magari ambayo yalikuwa yameegeshwa katika gereji iliyopo eneo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiungo Pogba atakiwa kutuliza mzuka

Kiungo wa Ufaransa na klabu ya Juventus, Paul Pogba ametakiwa kuwa mtulivu katika michezo yote iliyobaki ya fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zwelithini kutuliza raia Afrika Kusini

Mfalme Goodwill Zwelithini kutoa wito wa kusitishwa kwa ghasia kufuatia kuongezeka kwa mashambulio ya kibaguzi Afrika Kusini

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi kutuliza ghasia Afrika kusini

Waziri wa ulinzi nchini Africa kusini ametangaza kuwa jeshi litatumwa kutuliza ghasia ambazo zimesababisha vifo vya watu 7.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia Kiteto

ASKARI wa Jeshi la Polisi wilayani Kiteto, Manyara wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kutuliza ghasia zilizosababishwa na jamii ya wafugaji wa Kimasai kuvamia mkutano ulioandaliwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwelekeo mpya bungeni, Pinda atoa hoja kutuliza hali ya hewa

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alifanikiwa kutuliza hali ya hewa bungeni baada ya kutoa mapendekezo yaliyoungwa mkono na pande zote zilizokuwa zinavutana kuhusu kupitisha baadhi ya vifungu vya Kanuni za Bunge la Katiba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vijana ni chachu ya maendeleo

TAIFA lolote lile, ili liendelee, linahitaji nguvu ya vijana. Mtu anapokuwa kijana anapata fursa pekee ambayo akili na mwili huwa na uchu na uwezo wa kuchapa kazi. Pindi atakapozeeka, hubakiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkapa: Daraja la Kigamboni ni chachu ya maendeleo

Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa amesema ujenzi wa Daraja la Kigamboni unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu ni moja ya chachu ya maendeleo nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani