Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiungo Pogba atakiwa kutuliza mzuka

Kiungo wa Ufaransa na klabu ya Juventus, Paul Pogba ametakiwa kuwa mtulivu katika michezo yote iliyobaki ya fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Filamu ya ‘Going Bongo’ Mzuka

ILE Filamu kubwa ya Going Bongo imepokelewa vizuri na wapenzi wa filamu kwa kukusanya watu wengi wakiwemo wasanii nyota kutoka viunga vya Bongo sinema hiyo ambayo imerekodiwa katika kiwango cha kimataifa ilirushwa katika ukumbi wa sinema wa Cinemax Mlimani City na kuteka watazamaji.

Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo

Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo

Mmoja wa wasanii nyota katika vichekesho Masanja Mkandamizaji alisifia ubora wa sinema hiyo na kusema sasa Tanzania imepiga hatua katika utengenezaji wa...

 

11 years ago

GPL

MWIGULU, RIDHIWANI KIKWETE MZUKA 100%

Stori: Gladness Mallya KWELI raha jipe mwenyewe! Usemi huo ulidhihirika wikiendi iliyopita ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini (Night of Hope) ambapo wabunge mashabiki wa Yanga walikipiga na wabunge mashabiki wa Simba na kutia fora kwa kushangiliwa wakati wa mtanange huo. Katika mchuano huo, wabunge wa Yanga waliwagaragaza wa Simba kwa mabao 3-2 hali iliyosababisha uwanja ulipuke kwa...

 

9 years ago

Raia Mwema

ItakuwajeWatanzania wote tukiwa na mzuka wa Magufuli?

NAPENDA sana jinsi Dk. John Magufuli, Rais mpya alivyaonza kazi kwa nguvu.

Njonjo Mfaume

 

10 years ago

BBCSwahili

Chachu ya kutuliza maumivu yapatikana

Wanasayansi nchini Marekani wamefanikiwa kutengeneza chachu yenye vina saba vinavyoweza kupunguza maumivu kwa kiasi kikubw

 

11 years ago

Mwananchi

Kili Stars ‘full’ mzuka kwa Kenya

Kikosi cha Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinashuka kwenye Uwanja wa Kenyatta mjini Machakos leo kwa lengo moja tu la kusaka ushindi dhidi ya wenyeji Kenya katika nusu fainali ya kwanza ya Kombe la Chalenji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi kutuliza ghasia Afrika kusini

Waziri wa ulinzi nchini Africa kusini ametangaza kuwa jeshi litatumwa kutuliza ghasia ambazo zimesababisha vifo vya watu 7.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia

JESHI la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutuliza ghasia zilizoibuka baina ya wakazi wa eneo la Bahari-Motors, Kijitonyama, wilayani Kinondoni jijini hapa. Ghasia hizo zilitokana na kuchukuliwa kwa magari ambayo yalikuwa yameegeshwa katika gereji iliyopo eneo hilo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zwelithini kutuliza raia Afrika Kusini

Mfalme Goodwill Zwelithini kutoa wito wa kusitishwa kwa ghasia kufuatia kuongezeka kwa mashambulio ya kibaguzi Afrika Kusini

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi watumia mabomu kutuliza ghasia Kiteto

ASKARI wa Jeshi la Polisi wilayani Kiteto, Manyara wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kutuliza ghasia zilizosababishwa na jamii ya wafugaji wa Kimasai kuvamia mkutano ulioandaliwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani