MWIGULU, RIDHIWANI KIKWETE MZUKA 100%
![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnW-1n55NRwmH2G-vRkjJ7CTR22K9zZv6BJbWMTeyQGsEgQZxpnuQW7q-PAlzeT9pMkTaXTJuKTcTGk1uAOCXsXI/mzukamia.jpg)
Stori: Gladness Mallya KWELI raha jipe mwenyewe! Usemi huo ulidhihirika wikiendi iliyopita ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini (Night of Hope) ambapo wabunge mashabiki wa Yanga walikipiga na wabunge mashabiki wa Simba na kutia fora kwa kushangiliwa wakati wa mtanange huo. Katika mchuano huo, wabunge wa Yanga waliwagaragaza wa Simba kwa mabao 3-2 hali iliyosababisha uwanja ulipuke kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi23 Oct
JELA KWA KUMTUSI KIKWETE NA RIDHIWANI
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/6G9LThnHd29Q2c2CW78CTyUZ5fK87mBjJBw5z3nIo5iZzAmUGE4ERU1RvUzVStUWh-ZHGz4twiIyjU9Yjts1ziRNYA9RB-1fgR3fuuG_GVtTOwCOAn5De4i8EBHRXw_Tna2Jx75n4ducSIGyzr_PKsvCNqfvuMsdCRPYHsocHeW44UgCvzWH=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2925940/medRes/1155400/-/13gsam9z/-/JK+%2526+Ridhiwan.jpg?format=xhtml)
MKAZI wa mjini Moshi, Kyefa Joachim Makundi (33), amepandishwa kizimbani akikabiliwa na mashitaka ya kumtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete.
Mbali na shitaka hilo, mshitakiwa huyo amesomewa shitaka lingine la kumtukana Ridhiwan Kikwete ambaye ni mtoto wa Rais Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze anayemaliza muda wake.
Mshitakiwa huyo amefikishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama ya mkoa Kilimanjaro,...
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Ridhiwani Kikwete kuharakisha maendeleo Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akihutubia wananchi katika Kijiji cha Changarikwa wakati wa ziara ya kikazi pamoja na kuwashukuru wananchi kwa kuchagua viongozi wa Seikali ya Kijiji wa CCM katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.CCM imepata ushindi wa Vijiji vyote katika 74 katika jimbo hilo.
Ridhiwani akisisitiza jambo alipokuwa akihutubia katika kijiji hicho ambapo aliwataka kuacha tabia ya kukata miti ovyo kwa ajili ya mkaa ama sivyo vijiji vitageuka jangwa.
Mkazi wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGEGWhG-45ESsZS1EwSpm*kQxSlcRQm3W7BC6VbOHPqSuRCy3ueQah312Dbi64wsJ02FfffNSDW*MYbItB1hngCf/2POM2.jpg?width=650)
RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA KAMPENI CHALINZE
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE KUHARAKISHA MAENDELEO CHALINZE
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Ridhiwani Kikwete: Sina ubia na baba
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Ridhiwani Kikwete, ambaye ni mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, amesema kuwa siasa anazofanya hazina uhusiano na wala ubia na baba yake....
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Ridhiwani Kikwete ambwaga madega ubunge Chalinze
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lWrgtd2heug/Uz6VrCWFgmI/AAAAAAAFYYc/IAVh5E2G7Xs/s72-c/MMG27322.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE NA NIA YA KUWASAIDIA VIJANA WA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-lWrgtd2heug/Uz6VrCWFgmI/AAAAAAAFYYc/IAVh5E2G7Xs/s1600/MMG27322.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K64RQ5uESGg/Uz6Vtpzm5MI/AAAAAAAFYYk/9qz0WMRTJm8/s1600/MMG27311.jpg)
MGOMBEA ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete, amesema akipata...