Filamu ya ‘Going Bongo’ Mzuka
ILE Filamu kubwa ya Going Bongo imepokelewa vizuri na wapenzi wa filamu kwa kukusanya watu wengi wakiwemo wasanii nyota kutoka viunga vya Bongo sinema hiyo ambayo imerekodiwa katika kiwango cha kimataifa ilirushwa katika ukumbi wa sinema wa Cinemax Mlimani City na kuteka watazamaji.
![Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/Going-Bongo-34.jpg)
Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo
Mmoja wa wasanii nyota katika vichekesho Masanja Mkandamizaji alisifia ubora wa sinema hiyo na kusema sasa Tanzania imepiga hatua katika utengenezaji wa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKOKrH*5YjeV98SlO9sc-GeEdsCoI8wJFagT2BRVkvMw0qOye*KtdgqnuSOg1xELNlRW7c2C2ONAD0YIhaeFsP0/barua.jpg)
WASANII†‬BONGO†‬MOVIES NI NANI ALIYEWAROGA�‬
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
9 years ago
Bongo505 Dec
Kuoneshwa kwa ‘Going Bongo’ kwenye majumba ya sinema Tanzania kutaandika historia muhimu – Ernest Napoleon
![Ernest Kuonyeshwa_4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ernest-Kuonyeshwa_4-300x194.jpg)
Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon anaamini kuwa kuoneshwa kwa filamu ya Going Bongo kwenye majumba ya sinema nchini kutaandika historia muhimu kwenye tasnia ya filamu ya Tanzania.
Napoleon amedai kuwa uoneshwaji wa filamu kwenye majumba ya sinema ndio msingi wa mafanikio kwa soko la filamu katika nchi zilizoendelea.
Filamu yake ya Going Bongo itaanza kuoneshwa December 11, kwenye ukumbi wa sinema wa Century Cinemax uliopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
“Tunajaribu...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnW-1n55NRwmH2G-vRkjJ7CTR22K9zZv6BJbWMTeyQGsEgQZxpnuQW7q-PAlzeT9pMkTaXTJuKTcTGk1uAOCXsXI/mzukamia.jpg)
MWIGULU, RIDHIWANI KIKWETE MZUKA 100%
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Kiungo Pogba atakiwa kutuliza mzuka
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
ItakuwajeWatanzania wote tukiwa na mzuka wa Magufuli?
NAPENDA sana jinsi Dk. John Magufuli, Rais mpya alivyaonza kazi kwa nguvu.
Njonjo Mfaume
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Kili Stars ‘full’ mzuka kwa Kenya