WASANII†‬BONGO†‬MOVIES NI NANI ALIYEWAROGA�‬
![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiKOKrH*5YjeV98SlO9sc-GeEdsCoI8wJFagT2BRVkvMw0qOye*KtdgqnuSOg1xELNlRW7c2C2ONAD0YIhaeFsP0/barua.jpg)
KWENU wasanii wa Bongo Moviesâ€. ‬Bila shaka mko poa na mnaendelea na mishemishe zenu za mjini kama kawaidaâ€. ‬Kutokana na ubize wa kazi zenu na zanguâ€, ‬leo nimeona bora niwakumbuke kwa baruaâ€.‬ Mkitaka kujua hali yanguâ€, ‬mimi ni mzima wa afya namshukuru Mungu naendelea na majukumu yangu kama kawaida ambapo moja ya majukumu hayoâ€, ‬ni hili la kuwaandikia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies08 Aug
MAONI: Nani Anaandikaga ‘Subtitles’ za Movies za Bongo?
Mwenzenu sikuwahi kuwa na mazoea ya kuangalia movie zetu za hapa nyumbani kwa maana mara nyingi huwa actors wana overdo hadi nikawa naboreka. sasa last weekend kwa kufuata ushabiki wa watoto nikakaa kuangalia, kwa kweli nilikuwa shocked na nikawa nashindwa kuelewa. Kwani ni nani anayewaandikia zile subtitles za kiingereza, halafu it seems ni myu mmoja ndiye huwa anapelekewa kwa jinsi zilivyo.
Ni aibu jamani, kama bado hamjafikia level hiyo ya lugha, acheni tu, wekezeni zaidi kwenye...
9 years ago
Bongo Movies22 Dec
Filamu ya ‘Going Bongo’ Mzuka
ILE Filamu kubwa ya Going Bongo imepokelewa vizuri na wapenzi wa filamu kwa kukusanya watu wengi wakiwemo wasanii nyota kutoka viunga vya Bongo sinema hiyo ambayo imerekodiwa katika kiwango cha kimataifa ilirushwa katika ukumbi wa sinema wa Cinemax Mlimani City na kuteka watazamaji.
![Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/Going-Bongo-34.jpg)
Ernest akiwa katika moja ya scene ya filamu ya Going bongo
Mmoja wa wasanii nyota katika vichekesho Masanja Mkandamizaji alisifia ubora wa sinema hiyo na kusema sasa Tanzania imepiga hatua katika utengenezaji wa...
9 years ago
Bongo505 Dec
Kuoneshwa kwa ‘Going Bongo’ kwenye majumba ya sinema Tanzania kutaandika historia muhimu – Ernest Napoleon
![Ernest Kuonyeshwa_4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ernest-Kuonyeshwa_4-300x194.jpg)
Muigizaji wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon anaamini kuwa kuoneshwa kwa filamu ya Going Bongo kwenye majumba ya sinema nchini kutaandika historia muhimu kwenye tasnia ya filamu ya Tanzania.
Napoleon amedai kuwa uoneshwaji wa filamu kwenye majumba ya sinema ndio msingi wa mafanikio kwa soko la filamu katika nchi zilizoendelea.
Filamu yake ya Going Bongo itaanza kuoneshwa December 11, kwenye ukumbi wa sinema wa Century Cinemax uliopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
“Tunajaribu...
10 years ago
Mwananchi21 May
NANI NI NANI URAIS: Peter Mziray, Rais Mtendaji APPT-Maendeleo
10 years ago
Mwananchi31 May
NANI NI NANI URAIS: Fahmi Dovutwa: Mwenyekiti wa chama cha UPDP
10 years ago
Mwananchi05 Jun
NANI NI NANI URAIS: Profesa Ibrahim Lipumba: Mwenyekiti wa CUF
10 years ago
Mwananchi06 Jun
NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema
10 years ago
Mwananchi21 Apr
9 years ago
Mwananchi20 Dec
NANI NI NANI SERIKALI YA JPM: Dk Ashatu Kijaji – Naibu Waziri Fedha na Mipango